In english

Dah! wabongo nuksi yaani mnaulizwa swali na nyie mnauliza badala ya kujibu? mtu kama ujui kitu si ukae kimya ?
 
Jamani dunia kubwa hii tusizihaki pale mtu anapouliza, kuna wengi tu wamekuwa adopted na wanapokutana na biological parents anakuta tayari ana half siblings. Au mama kazaa na baba zaidi ya mmoja...mimi nadhani kwa hili mwenzetu anataka direct translation ya kiswahili to English ambayo wakati mwingine haiwezekani au ikitafsiliwa haitaleta maana kama atakavyo,.
Translation rahisi nikumuuliza....Am I the oldest or youngest son or daughter in the family? Then mama atakujibu position yako.
Au ukitaka translation wa weza muuliza, Mama, would you mind let me know my birth position with my siblings?...ila hii nadhani haisound vizuri kama hupo in good term na mama yako, ila kama umegombana you can say this way.
 
Kwanza kabisa tuhakikishie kama huyo mama yako anajua-kiinglishi, maana kama wewe mtoto wa juzi juzi hujui na shule zote hizi za intaneshino sijui kama huyu mama yako anakimanya. Kama mama hajui kiinglishi kwa nini usitumie "kilugha" chenu au kiswahili tu.

muulize hivi "..mother is mimi kuzaliwa how many?"
 
Kama wewe unajua kwa Kiswahili ni wa ngapi na yeye anajua, basi swali ni la nini? Kuna maswali ya aina mbili: 1. kutaka kujua kitu na 2. kumjaribu mtu kama anajua. Yawezekana wewe unajiandaa na kujaribiwa - interview ya kazi au kupata visa ya kusafiria! Jiunge na kozi za Kiingereza pale British Council kama unaishi Dar.
 
Hali zenu wakuu. UKITAKA KUMUULIZA MAMA YAKO MI NIWANGAPI KUZALIWA? KWA KiNGEREZA(OR IN ENGLISH) UTASEMAJE?

Hii mbona chamtoto - mother in your family you are children of how many? hahahaaaahaha
 
kazi kweli kweliiiii! bado tuna safari ndefu sana aiseeeeeeee
 
naona kama cc_africa ni genius fulani hivi na siyo mvuta bangi kama wengine walivyomdiscribe
 
jamani ila huyu jamaa hajakosea hata kidogo mie mwenyewe katoto kangu 4 years kako kindagateni kalinijia na swali kama hili ..wala sio muda mrefu umepita ..aulizae anataka kujua
 
nimeishi na wazungu[waingereza] for sometime,swali wanalouliza kuhusu wewe ni wangapi kuzaliwa huwa ni..."DO YOU HAVE ANY BROTHERS AND/OR SISTER?".......hii imenifanya niamini kuwa hakuna hilo swali la wewe ni wa ngapi kuzaliwa kwani ukishamwambia i do have bro/sis utamalizia im 1st/2nd born and my sis/bro is so so.......
 
kwani ulivyozaliwa ukuwakuta wengine wako, na unaanzaje kumweleza hivyo, wewe mtoto ni mtukutu sana hebu kuwa na adabu hapo
Hali zenu wakuu. UKITAKA KUMUULIZA MAMA YAKO MI NIWANGAPI KUZALIWA? KWA KiNGEREZA(OR IN ENGLISH) UTASEMAJE?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…