Lazima ushangae Baba Askofu ...........baaada ya muda ni huyu huyu anakuja kukuomba uwafungishe ndoa na mwenye PICHA! ................miezi miwili baadae anarudi hapa JF ooooooooooooooh mimi ndoa yangu!
Tafuta tiba ndugu yangu sio bure hicho kichwa chako!
Wadau last week nlienda chuo kimoja hapa City Centre katika pita yangu nkaokota passport size ya kiumbe kimojaaaaaaaaa saaaaaaaaafi kabisa kinavutia machoni.
Hii picha nimekua nayo almost 3weeks now na sijui wats happening to me cause nahis am falling for it.
Nisaidie,nishaurini NIFANYE NINI mie,
Nimevutia na nimependa kiumbe hiki kilicho katika picha hii.Ningependa kukijua zaidi na hata kufikia hatua ileeeee ya altareni.
Please advise
Tuwekee hiyo picha basi tuione kwanza!
Tuwekee hiyo picha basi tuione kwanza!
Last week uliokota.....unayo for almost 3 weeks..... Umedanganya hapa....labda uliokota vocha
Last week uliokota.....unayo for almost 3 weeks..... Umedanganya hapa....labda uliokota vocha
E-W, huyu anakuja tu hapa.....tatizo la baadhi yetu tunakuja na vijihadithi vya kutunga kwa kulinganisha na issue fulani, wakati wa kuandika unakosea....eti nimeokota wiki iliyopita, ninayo wiki 3 (almost).......ubabaishaji tu.....Inawezekana alimuona mtu kampenda sasa anataka ashauriwe how to get him/her.....kumbe umeona watu wanakuja JF kutest vichwa vya geat thinkers😡
Mmmh nikiiweka apa naogopa mtanipora mimi?
Halafu je huyo nliemweka ana privacy zake pia anaweza penda wazo hilo au la afu nkakosa kote!
Nimemwaga vijana chuo hicho,kila anaeingia na kutoka getini anafanyiwa facial recognition and soon ntampata tu and will get back to u guysss!
Kweli mapenzi kitu cha ajabu