In love with two guys...advice please!

wewe mtoto bwana haiwezekani kuwa na upendo sawa kwa watu wawili kwa wakati mmoja, sema unampenda mmoja mwingine unamuonea huruma, sasa hiyo huruma ndio itakayokuponza, ushauri wangu sikiliza moyo wako tu hakuna kingine ukijisikia kuwatest wote its up to you
 
We unatuzingua,unajifanya umependa wote sasa sisi tukushauri nini?? Kama unawapenda wote basi watumikie wote,atakaekataa utakua umepata wa kubaki nawe.
 
Uhuni tu huna lolote, unapendaje wanaume wawili kwa wakati mmoja , labda mmoja buzi mwingine wa starehe. pole bi dada
 
wacha kutudangany labda kama haujakua. acha tamaa za kuolewa/kuoa. utachanika msamba mdogo angu. kama ni umalaya safi...ongeza hata 4
 
you cant have two Christmas in one year-angalia tena na tena uchague mmoja
 
wherever u c three, love two n get married to one
 
Haya umesema wanakuonyesha wanataka kuwa nae omba Mungu wasiwe wanataka kukupitia njia tu.

Pia lazima kuna tofauti kati ya hao ambazo utapenda na hautapenda ok?

Kwa hiyo labda jaribu kuwajua kizaidi kabla ya kuamua kutoka nao as kutoka na mtu sio kukimbilia kulala nao

Ushauri wangu huo dada, jiheshimu pia ni muhimu

Na pia usidhani wanakutaka kama haujaambiwa nao
 
Huwezi kupenda wawili equally. Think twice.
 
wel,why can't u just hook me up and leave them both in dilema,u desarve only one.
 
nakhisi huna udogo wa hivyo kwa kutojua kuainisha kua nani kati yao anakupenda zaidi,chagua mmoja tu ili uishi kwa amani na kutokua na msongamano wa mawazo katika kichwa chako,lau kama unakhisi wote wanakuchanganya,hapana shaka waweza kuja kwangu tu,KARIBU SANA.
 
wel,why can't u just hook me up and leave them both in dilema,u desarve only one.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…