Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
Ndugu
Ndiyo sasa tuko kwenye masaa 24 ya mwisho kabla ya kuhitimisha kazi yetu ya kuleta mabadiliko makubwa katika nchi yetu na kuifuta CCM katika historia ya Tanzania. Unaweza kuwa shujaa wa mabadiliko haya...hebu ingia ngomani ucheze.
1. Hakikisha kuwa unatuma sms zisizopungua 100 kuanzia sasa, kuwaeleza watu wako wa karibu na wengine kuwa tunaitwa kutengeneza historia mpya ya nchi yetu kwa kumchagua Dr Slaa na wabunge wa upinzani. Wapigania uhuru wa miaka ya 1960 waliweza. Na sisi pia tunaweza...Yes we can...yes we can..and you can be part of this wonderful moment.
2. Tuma emails zaidi ya 200 kwa watu wote unaowafahamu kwamba muda umeisha, na sasa ni wakati wa kutoa hukumu. Hii ni hukumu ya kihistoria. Kama ilivyokuwa 1961 kwenye historia ya Tanzania, ndivyo itakavyokuwa 2010. Vizazi vyote vijavyo vitaikumbuka na kuienzi tarehe 31/10/2010
3. Msalimie jirani yako (walau nyumba 10) hata kama hujawahi kuongea naye kwa zaidi ya miaka 5 iliyopita. Mfikishie ujumbe huu wa matumaini.
4. Hakikisha unawahi kwenye kituo cha kupiga kura na hamasisha wale ambao una wasi wasi kuwa bado hawajajua nguvu ya kura yao.
Hapa chini kuna baadhi ya SMS unazoweza kutumia.
Pia mwingine huu hapa,
Naomba wengine wenye draft sms wanitumie niziweke hapa kurahisisha kazi kwa baadhi ya watu ambao wangependa kuwatumia washikaji zao.
Mungu awabariki sana
Mungu Ibariki Tanzania...Tanzania bila CCM, Tanzania bila Ufisadi...Tanzania bila JK ....inawezekana. Katoe hukumu yako kesho 31/10/2010
Rt Maj Gen. DC(1947)
Ndiyo sasa tuko kwenye masaa 24 ya mwisho kabla ya kuhitimisha kazi yetu ya kuleta mabadiliko makubwa katika nchi yetu na kuifuta CCM katika historia ya Tanzania. Unaweza kuwa shujaa wa mabadiliko haya...hebu ingia ngomani ucheze.
1. Hakikisha kuwa unatuma sms zisizopungua 100 kuanzia sasa, kuwaeleza watu wako wa karibu na wengine kuwa tunaitwa kutengeneza historia mpya ya nchi yetu kwa kumchagua Dr Slaa na wabunge wa upinzani. Wapigania uhuru wa miaka ya 1960 waliweza. Na sisi pia tunaweza...Yes we can...yes we can..and you can be part of this wonderful moment.
2. Tuma emails zaidi ya 200 kwa watu wote unaowafahamu kwamba muda umeisha, na sasa ni wakati wa kutoa hukumu. Hii ni hukumu ya kihistoria. Kama ilivyokuwa 1961 kwenye historia ya Tanzania, ndivyo itakavyokuwa 2010. Vizazi vyote vijavyo vitaikumbuka na kuienzi tarehe 31/10/2010
3. Msalimie jirani yako (walau nyumba 10) hata kama hujawahi kuongea naye kwa zaidi ya miaka 5 iliyopita. Mfikishie ujumbe huu wa matumaini.
4. Hakikisha unawahi kwenye kituo cha kupiga kura na hamasisha wale ambao una wasi wasi kuwa bado hawajajua nguvu ya kura yao.
Hapa chini kuna baadhi ya SMS unazoweza kutumia.
Hatima ya maisha yako, watoto na hata wajukuu wako iko mikononi mwako na kura yako ndiyo mwamuzi. Mchangue Dr Slaa kwa hatima ya maisha yako na vizazi vyako. Tuma ujumbe huu kwa watu wasiopungua 10
Pia mwingine huu hapa,
Wakinge uwapendao na ccm, vunja ukimya zungumza na CHADEMA,kuokoa Taifa lako linaloangamia kwa ufisadi, badili mfumo na kura yako mpe Dr. Slaa awe rais wako. Usipige kura kwa mazoea...... Tuma kwa watu wasiopungua 10.
Naomba wengine wenye draft sms wanitumie niziweke hapa kurahisisha kazi kwa baadhi ya watu ambao wangependa kuwatumia washikaji zao.
Mungu awabariki sana
Mungu Ibariki Tanzania...Tanzania bila CCM, Tanzania bila Ufisadi...Tanzania bila JK ....inawezekana. Katoe hukumu yako kesho 31/10/2010
Rt Maj Gen. DC(1947)