Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Pole mkuu. Vipi kachumbari nayo huwa hutumii? Inawezakuwa chanzo cha kupata hill gonjwa! Kwa mazingira yetu kutia nnya kinywani ni jambo la kawaida, usijali!Ninashanga nimeipataje typhoid:
Tangu nije hapa Dar mwaka 2005 mpaka leo huwa nakunywa maji ya chupa tu, hata kupigia mswaki na kunawa uso ni maji ya chupa tu.
Sasa leo nimefika hospitali nikapimwa na kukutwa na typhoid na wataalam wanasema typhoid huambukizwa kwa kula kinyesi cha mgonjwa mwenye vijidudu...
Yani hapa I feel very very bad... Historically sijawahi kupimwa nikakutwa na typhoid. Leo ndio mara ya kwanza...
Sasa najiuliza nimeipataje maana wala hata sijawahi 'kupiga deki'...
Ofcoz ni mdau...Pole mkuu. Vipi kachumbari nayo huwa hutumii? Inawezakuwa chanzo cha kupata hill gonjwa! Kwa mazingira yetu kutia nnya kinywani ni jambo la kawaida, usijali!
Ninashanga nimeipataje typhoid:
Tangu nije hapa Dar mwaka 2005 mpaka leo huwa nakunywa maji ya chupa tu, hata kupigia mswaki na kunawa uso ni maji ya chupa tu.
Sasa leo nimefika hospitali nikapimwa na kukutwa na typhoid na wataalam wanasema typhoid huambukizwa kwa kula kinyesi cha mgonjwa mwenye vijidudu...
Yani hapa I feel very very bad... Historically sijawahi kupimwa nikakutwa na typhoid. Leo ndio mara ya kwanza...
Sasa najiuliza nimeipataje maana wala hata sijawahi 'kupiga deki'...
Tailisi ni nini.... Nijue kama mnazo na mimi nijikingeMkuu haujawahi kupiga deki nyumbani kwako sakafu yako haina tailisi au uvivu tuu...?
Kuna kijana hapa anatafta kazi za ndani Kama kupiga deki nakadhalika kama upo tayari tutaftane DM nikuunganishe nae.