kombo mzalendo
Senior Member
- Dec 20, 2012
- 118
- 11
Mwalimu ni priority coz baadae ile hela ya mkopo lazima akatwe kwenye mshahara coz hana pa kukimbilia weng wanaajiriwa tena serekalini...sasa mtu wa Law kwa mfano wakimpa mkopo watampatia wap kurudisha coz anweza anzisha kampuni yake su hta akwa mwanasheria wa kujitegema so serekali ni ngumu kumkata pesa dat y inkua non priority na si kwamba taifi hili lina jali sana walimu...kma kwl walikua wanawajali kma sasa kwa kuwapa mkopo basi hata mishahara ingekua mizur na isngekua ya kubabaisha kama sasa🙁🙁:what:
Habarini wanajamvi
HIVI HAWA HESLB wanataka watu wote waliosoma michepuo ya ARTS wote wawe walimu mana ndo facult yenye priority kwa watu wa arts.
PILI ina maana hizi kozi nyingine ni kweli hazina umuhimu kwa taifa ukitoa zile za science na UALIMU.nawasilisha
swali zuriHabarini wanajamvi
HIVI HAWA HESLB wanataka watu wote waliosoma michepuo ya ARTS wote wawe walimu mana ndo facult yenye priority kwa watu wa arts.
PILI ina maana hizi kozi nyingine ni kweli hazina umuhimu kwa taifa ukitoa zile za science na UALIMU.nawasilisha
jibu zuriMwalimu ni priority coz baadae ile hela ya mkopo lazima akatwe kwenye mshahara coz hana pa kukimbilia weng wanaajiriwa tena serekalini...sasa mtu wa Law kwa mfano wakimpa mkopo watampatia wap kurudisha coz anweza anzisha kampuni yake su hta akwa mwanasheria wa kujitegema so serekali ni ngumu kumkata pesa dat y inkua non priority na si kwamba taifi hili lina jali sana walimu...kma kwl walikua wanawajali kma sasa kwa kuwapa mkopo basi hata mishahara ingekua mizur na isngekua ya kubabaisha kama sasa🙁🙁:what:
Eti ili nichukuwe education matokeo yangu ya forms six yaweje?
Mwalimu ni priority coz baadae ile hela ya mkopo lazima akatwe kwenye mshahara coz hana pa kukimbilia weng wanaajiriwa tena serekalini...sasa mtu wa Law kwa mfano wakimpa mkopo watampatia wap kurudisha coz anweza anzisha kampuni yake su hta akwa mwanasheria wa kujitegema so serekali ni ngumu kumkata pesa dat y inkua non priority na si kwamba taifi hili lina jali sana walimu...kma kwl walikua wanawajali kma sasa kwa kuwapa mkopo basi hata mishahara ingekua mizur na isngekua ya kubabaisha kama sasa🙁🙁:what:
Habarini wanajamvi
HIVI HAWA HESLB wanataka watu wote waliosoma michepuo ya ARTS wote wawe walimu mana ndo facult yenye priority kwa watu wa arts.
PILI ina maana hizi kozi nyingine ni kweli hazina umuhimu kwa taifa ukitoa zile za science na UALIMU.nawasilisha
mkuu poleni sana, sasa hvi hata sisi walimu wanatubania mkopo, kuna watu weng sana wa education kwe tuition fee wamepata 0 tunakoelekea co kuzuri ndugu zangu
Habarini wanajamvi
HIVI HAWA HESLB wanataka watu wote waliosoma michepuo ya ARTS wote wawe walimu mana ndo facult yenye priority kwa watu wa arts.
PILI ina maana hizi kozi nyingine ni kweli hazina umuhimu kwa taifa ukitoa zile za science na UALIMU.nawasilisha
swali zuri
jibu zuri
division one ya brn
Habarini wanajamvi
HIVI HAWA HESLB wanataka watu wote waliosoma michepuo ya ARTS wote wawe walimu mana ndo facult yenye priority kwa watu wa arts.
PILI ina maana hizi kozi nyingine ni kweli hazina umuhimu kwa taifa ukitoa zile za science na UALIMU.nawasilisha
wanawapa kipaumbele walimu ili kuwavutuia watoto wa wakulima kusoma ualimu ili kupunguza uhaba wa walimu.
ina maana watoto wao waendelee kubaki kwenye system
Ndio hali halisi ilivyo mtoto wa masikini kutoka kimaisha inahitajika nguvu ya ziada kwa nchi zetu za kiafrika.
mkuu poleni sana, sasa hvi hata sisi walimu wanatubania mkopo, kuna watu weng sana wa education kwe tuition fee wamepata 0 tunakoelekea co kuzuri ndugu zangu
nikweli kaka