Raul gonzalez,yaani kuna wachezaji mtu unatamani wasizeeke ili uwe unawaona tu uwanjani! wapi Ronaldinho gaucho? Diego maradona, jj okocha? Roger milla? Ruud gullit? na wengineo wengi tu,ama kweli umri haugandi.
Raul gonzalez,yaani kuna wachezaji mtu unatamani wasizeeke ili uwe unawaona tu uwanjani! wapi Ronaldinho gaucho? Diego maradona, jj okocha? Roger milla? Ruud gullit? na wengineo wengi tu,ama kweli umri haugandi.