Ina shangaza sana

huyo atakuwa anakuchakachulia mkeo

Naunga mkono hoja. Kwa hiyo anamchora jamaa kwa kumuuliza uliza, hili jamaa aseme wife hawezi kutoka nje ya ndoa kabisa, wakati yeye alikuwa nae kimahaba huyo anayesifiwa labda muda mfupi kabla ya kukutana hapo bar, yaani haya maisha haya sijui 2.
 
Huyo jamaa atakuwa anajua mtu ambaye anachakachua huyo wife wa jamaa,,,
 
Huyo mke wa jamaa(umesema alikuwa naye pembeni) atakuwa kamwambia neno mumewe kuwa mke wa rafiki yako ana.....
 
Huyo si rafiki mwema hafai nitaanza kumtoa kwenye company yangu,
 
unaondoka,kama hana topic ya maana hafai kuwa karibu naye!
OR
kama ni rafiki yako na mna fahamiana for long hajawahi kuonesha hiyo tabia muoneshe sura ya kiume na kataa topic za kufunuana nguo hizo ni upuuzi.
 

Sometime anaweza kuwa kamuona anafanya kitu cha ajabu so anaanza kwa kukuuliza ili ajue wewe unamwona vipi siku hizi kabla hajaanza kushusha umbea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…