Nimeikariri kwa wanabidiii
From: Mike Mande <mand...@yahoo.com>
Date: Mon, 25 Oct 2010 07:25:35 -0700 (PDT)
Local: Mon, Oct 25 2010 5:25 pm
Subject: Re: [wanabidii] Mdahalo wa wagombea
Forward | Print | Individual message | Show original | Report this message | Find messages by this author
Ndugu yangu Kibanda na wanabidii wengine nimeamua kuwapa taarifa hii muhimu baada ya safari yangu ya Ulaya na mambo niliyokutana nayo kuhusu uchaguzi wetu. Ndugu Kibanda bado hatujafanya kazi ya kutosha kuhusu hila za CCM katika uchaguzi mkuu wa 2010. Hivi mnajua kuwa ni nani aliyepewa tenda ya kuchapisha karatasi za uchaguzi mkuu. Hivi mnamjua mfanyabiashara anaitwa Subhash Patel ndiye aliyepewa hiyo tenda. Je nani anajua kuwa tenda hiyo haikutangazwa ipaswavyo na ilitolewa isivyohalali. Je munafahamu kuwa Subhash ni Mkwere wa Lugoba na mwanahisa wa Sayona pamoja na Kikwete.
Sasa nawambia hivi kuna kura milioni saba ambazo zitaongezeka katika uchaguzi huu na CCM itashinda jaribuni kufanya utafiti mtaona hiyo.
From: Mike Mande <mand...@yahoo.com>
Date: Mon, 25 Oct 2010 07:25:35 -0700 (PDT)
Local: Mon, Oct 25 2010 5:25 pm
Subject: Re: [wanabidii] Mdahalo wa wagombea
Forward | Print | Individual message | Show original | Report this message | Find messages by this author
Ndugu yangu Kibanda na wanabidii wengine nimeamua kuwapa taarifa hii muhimu baada ya safari yangu ya Ulaya na mambo niliyokutana nayo kuhusu uchaguzi wetu. Ndugu Kibanda bado hatujafanya kazi ya kutosha kuhusu hila za CCM katika uchaguzi mkuu wa 2010. Hivi mnajua kuwa ni nani aliyepewa tenda ya kuchapisha karatasi za uchaguzi mkuu. Hivi mnamjua mfanyabiashara anaitwa Subhash Patel ndiye aliyepewa hiyo tenda. Je nani anajua kuwa tenda hiyo haikutangazwa ipaswavyo na ilitolewa isivyohalali. Je munafahamu kuwa Subhash ni Mkwere wa Lugoba na mwanahisa wa Sayona pamoja na Kikwete.
Sasa nawambia hivi kuna kura milioni saba ambazo zitaongezeka katika uchaguzi huu na CCM itashinda jaribuni kufanya utafiti mtaona hiyo.