New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,333
- 2,484
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Tujikumbushe
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Polisi: Yeyote mwenye taarifa za uhakika za aliyemlenga Nape kwa bastola atujulishe
Jiwe anajua kila kitu maana ndio anayesuka mipango yote hii ikiwa pamoja na ile ya kumiminia mbunge risasi mchana kweupe.View attachment 726981
Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.
Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani ? Katumwa na nani ?
Henry Kisanduku mtu aliyemchomolea bastola Nape Nnauye na kutishia kumpiga risasi, ndiye aliyepewa jukumu la kuwapeleka akina Mbowe mahakamani kutoka kituo kikuu cha Polisi Dar. Mwaka jana Waziri Mwigulu Nchemba alikanusha vikali kwamba mtu huyo si askari polisi.
Ikiwa si polisi kama alivyosema Nape, kwanini afanye kazi za Polisi? Kwanini apewe jukumu la kuwaescort akina Mbowe kwenda mahakamani? Polisi wamempaje kazi mtu asiye polisi apeleke watuhumiwa mahakamani? Huu ujasiri wa kufanya kazi za polisi wakati si polisi ameutoa wapi? Na kwani ni kwenye kesi ya akina Mbowe na si nyingine? I smell something fishy.!!
View attachment 726981
Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.
Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani ? Katumwa na nani ?
Henry Kisanduku mtu aliyemchomolea bastola Nape Nnauye na kutishia kumpiga risasi, ndiye aliyepewa jukumu la kuwapeleka akina Mbowe mahakamani kutoka kituo kikuu cha Polisi Dar. Mwaka jana Waziri Mwigulu Nchemba alikanusha vikali kwamba mtu huyo si askari polisi.
Ikiwa si polisi kama alivyosema Nape, kwanini afanye kazi za Polisi? Kwanini apewe jukumu la kuwaescort akina Mbowe kwenda mahakamani? Polisi wamempaje kazi mtu asiye polisi apeleke watuhumiwa mahakamani? Huu ujasiri wa kufanya kazi za polisi wakati si polisi ameutoa wapi? Na kwani ni kwenye kesi ya akina Mbowe na si nyingine? I smell something fishy.!!
Hapa ni JF kadada,usiandike kama unamtumia sms mumeoWewe unamtafta wa nn?! Je kosa gn alitenda?! Wkt mwingine muwe mnajaribu kukaa kimya ili kuuficha ujinga wenu.
Hawa watu zamu yao inakuja.
Nasisitiza tena kuwa,Mungu kawanyima hawa watu maarifa ili waanguke.
Those people who do not want to see political changes are taking place in our country, are the ones who unknowingly facilitating those changes.
This arrogance and complacency that they are showing us today, will one day be responsible for their downfall.
They are complacent about remaining in power till the day this world comes to an end something that is not true at all and that is even against the laws of nature.
Mimi nafikiri Nape hakuwahi kutolewa bastola bali ni sisi watanzania wote kwaujumla wetu tulikuwa tunaota ndoto ya pamoja!
Umeiweka kinyume Alisema "nilisema siyo polisi sikusema siyo askari" Akiwa na maana kwamba, yeye kama waziri wa mambo ya ndani, alikua anahusika na POLISI. Sasa yule hakuwa polisi bali alikua askari wa majeshi mengine ambapo wahusika wangetakiwa kudeal nalo." Nilisema ni Polisi ila sikusema ni Askari " - Mwigulu Nchemba, akihojiwa Clouds 360.
Huna hakika na ulichoandika ndiyo maana umeandika kishakashakaView attachment 726981
Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.
Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani ? Katumwa na nani ?
Henry Kisanduku mtu aliyemchomolea bastola Nape Nnauye na kutishia kumpiga risasi, ndiye aliyepewa jukumu la kuwapeleka akina Mbowe mahakamani kutoka kituo kikuu cha Polisi Dar. Mwaka jana Waziri Mwigulu Nchemba alikanusha vikali kwamba mtu huyo si askari polisi.
Ikiwa si polisi kama alivyosema Nape, kwanini afanye kazi za Polisi? Kwanini apewe jukumu la kuwaescort akina Mbowe kwenda mahakamani? Polisi wamempaje kazi mtu asiye polisi apeleke watuhumiwa mahakamani? Huu ujasiri wa kufanya kazi za polisi wakati si polisi ameutoa wapi? Na kwani ni kwenye kesi ya akina Mbowe na si nyingine? I smell something fishy.!!
Day dreamingHawa watu zamu yao inakuja.
Nasisitiza tena kuwa,Mungu kawanyima hawa watu maarifa ili waanguke.
Those people who do not want to see political changes are taking place in our country, are the ones who unknowingly facilitating those changes.
This arrogance and complacency that they are showing us today, will one day be responsible for their downfall.
They are complacent about remaining in power till the day this world comes to an end something that is not true at all and that is even against the laws of nature.
Wanasemaga Dunia duara, unayemdharau leo kesho anaweza kuwa boss wakoHenry Kisanduku ujue tu Nape kasharudi serikalini
Zamu yao tayari mzeeHawa watu zamu yao inakuja.
Nasisitiza tena kuwa,Mungu kawanyima hawa watu maarifa ili waanguke.
Those people who do not want to see political changes are taking place in our country, are the ones who unknowingly facilitating those changes.
This arrogance and complacency that they are showing us today, will one day be responsible for their downfall.
They are complacent about remaining in power till the day this world comes to an end something that is not true at all and that is even against the laws of nature.
Mwigulu tukianzia hapa huko nchi nyingine Hanakazi....unganisha na NtwalaView attachment 726981
Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.
Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani ? Katumwa na nani ?
Henry Kisanduku mtu aliyemchomolea bastola Nape Nnauye na kutishia kumpiga risasi, ndiye aliyepewa jukumu la kuwapeleka akina Mbowe mahakamani kutoka kituo kikuu cha Polisi Dar. Mwaka jana Waziri Mwigulu Nchemba alikanusha vikali kwamba mtu huyo si askari polisi.
Ikiwa si polisi kama alivyosema Nape, kwanini afanye kazi za Polisi? Kwanini apewe jukumu la kuwaescort akina Mbowe kwenda mahakamani? Polisi wamempaje kazi mtu asiye polisi apeleke watuhumiwa mahakamani? Huu ujasiri wa kufanya kazi za polisi wakati si polisi ameutoa wapi? Na kwani ni kwenye kesi ya akina Mbowe na si nyingine? I smell something fishy.!!
[emoji38][emoji38][emoji38]Hawa watu zamu yao inakuja.
Nasisitiza tena kuwa,Mungu kawanyima hawa watu maarifa ili waanguke.
Those people who do not want to see political changes are taking place in our country, are the ones who unknowingly facilitating those changes.
This arrogance and complacency that they are showing us today, will one day be responsible for their downfall.
They are complacent about remaining in power till the day this world comes to an end something that is not true at all and that is even against the laws of nature.