ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Muda wote akiwa mbunge na waziri wa Ardhi wala hakujisumbua kujishughulisha na maendeleo ya Jimbo lake
Sasa dakika za jioni anagawa TV kwenye vijiwe vya kahawa na bodaboda.
Jimbo la Ilemela Lina changamoto nyingi, zinahitaji barabara za lami, majina umeme wa uhakika, huduma nzuri za afya na elimu, ajira za vijana, majengo mazuri ya masoko n.k ambayo haya yote yanapungua au sehemu zingine hayapo kabisa
Wananchi hawahitaji TV, wanavyo makwao wanazama nyumbani kwao , wanahitaji huduma ambao alijisahau kuzitetea.
Mtanganyika wa Sasa sio mjinga, kumpumbaza na TV, vitenge na zawadi ili wawape kura
Kwa mbinu hii naona amekwama, atafute mbinu mbadala
Sasa dakika za jioni anagawa TV kwenye vijiwe vya kahawa na bodaboda.
Jimbo la Ilemela Lina changamoto nyingi, zinahitaji barabara za lami, majina umeme wa uhakika, huduma nzuri za afya na elimu, ajira za vijana, majengo mazuri ya masoko n.k ambayo haya yote yanapungua au sehemu zingine hayapo kabisa
Wananchi hawahitaji TV, wanavyo makwao wanazama nyumbani kwao , wanahitaji huduma ambao alijisahau kuzitetea.
Mtanganyika wa Sasa sio mjinga, kumpumbaza na TV, vitenge na zawadi ili wawape kura
Kwa mbinu hii naona amekwama, atafute mbinu mbadala