comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Hoja inajegwa hapa kuwa TIGO ilifatilia na kuisaidia serikali kujua uelekeo na mahali Mh. Lissu alipokuwa.
Wakati Lissu amajenga hoja kuwa alishambuliwa akiwa mbuge, wakati wa vikao vya bunge, kwenye makazi ya viongozi waandamizi wa serikali.
Aidha wote tunajua kuwa baada ya Lissu kushabuliwa alipelekwa hospital na viongozi wa serikali, akapewa huduma ya kwanza na ya uokozi na madaktari wa serikali.
PIA SOMA
- Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka
Wakati Lissu amajenga hoja kuwa alishambuliwa akiwa mbuge, wakati wa vikao vya bunge, kwenye makazi ya viongozi waandamizi wa serikali.
Aidha wote tunajua kuwa baada ya Lissu kushabuliwa alipelekwa hospital na viongozi wa serikali, akapewa huduma ya kwanza na ya uokozi na madaktari wa serikali.
PIA SOMA
- Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka