King shark
Member
- Aug 4, 2019
- 31
- 17
raum zikoje wadau kwa kwenda nayo mikoani?
Hizi ndo akili za ktz.Hatuwezi kutengeneza ata toyo leo tunajifanya kudharau passo.Gari ni gari mradi unyeshewi na unatembea umekaa swala lanamna yakulitumia inategemea mtu na mtu.kama wewe upeleki passo yako service ya uhakika na unaitumia ovyo ovyo ata ungekua la landcruiser ingechemsha tu.ata ivyo ayo magari nikwamatumizi madogo madogo ukitaka kupiga route ndefu lazima uicheki kwanza.
Suzuki kaka Ni gari imara sanaaaUmebambikwa kaka,passo zipo za cc 990 na 1290 yakwako sijui ni IPI kati ya hizo.Mbona nilienda na Suzuki KEI cc 660 Arusha zaidi ya km 600 na kurudi haikuchemsha??? Hiyo yako ni mbovu usizichafue Passo,
Kaka hata utembee mpaka mbinguni, ile ni mashine ili mradi tu umeipa service sahihi unatumia vilainishi sahihi.kitu kingine kinachosababisha hizi gari kuchemsha ni kuweka maji ya dawasco badala ya coolant. Tena sio coolant tu bali coolant sahihi. Coolant zina rangi na kila gari ipo recomended na coolant ya rangi flan. Ukichukua coolant ukachovya kidole utaona kama inateleza kwa mbaliPasso haina shida...shida ipo kwa wamiliki.....wewe umeshajua gari ni ndogo mathalani ile ya piston 3..
Ni mnyakyusa wa MwakaleluWe jamaa unajuaga kila kitu kila jukwaa upo asee shikamooo
mara paap umekabidhiwa jeep hili hapaa lifike zambia afu ukikumbuka ww hata kastarlet huna..daaah unashikwa na tamaa kinyamaMimi ni dereva was IT natoka DSM hadi Zambia siku moja na nusu muda mwingine Kinshasa kupeleka hizo gari na zinahimili mikiki angalizo acheni dharau was hz ndinga ndogo ndogo
Ila kuna wakati unapata mnyama mkali unatamani upitilize nalo hadi SA lkn tatizo hizi family zinakutegemea
hv kuwa dereva wa IT inahtaji vigezo gan mkuuMimi ni dereva was IT natoka DSM hadi Zambia siku moja na nusu muda mwingine Kinshasa kupeleka hizo gari na zinahimili mikiki angalizo acheni dharau was hz ndinga ndogo ndogo
Ila kuna wakati unapata mnyama mkali unatamani upitilize nalo hadi SA lkn tatizo hizi family zinakutegemea
Leseni class C,E zaidi ya NIT
Au wenye passo wanasimamishwa kunawishwa?Natamani kumiliki gari ndogo. Nateseka sana! Kuingia pale mageti ya UDSM.
Eti watembea miguu lazima kunawa mikono na kuvaa barakoa. Wenye magari wanapita bila kuguswa! Fucck!!
Nimeshatembea na passo zaidi ya mara 4 hito njia huwa nikiamsha saa moja dar nazima gari mwanza saa 6 usiku non stop hata kula huwa sili. Nasimama kujaza mafuta tu. Na huwa natumia wese la 150000duh ivi unaweza kutembea na Ist kutoka Dar mpaka Mwanza bila kuzima popote njiani au kupumzika?
Nimetoka kinunua passo brand new may mwaka huuThe safest speed na paso ni 100km/h ikizidi sana mwisho 120km/h nina experience kubwa sana na paso kwani ni gari yangu ya 3 kumiliko nikitokea kwenye oppa 1700cc, nimeipenda sana passo pengine nafikiria kununua tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetoka kinunua passo brand new may mwaka huu
Hiyo Paso ni gari ya pistoni ngapi?Nimeshatembea na passo zaidi ya mara 4 hito njia huwa nikiamsha saa moja dar nazima gari mwanza saa 6 usiku non stop hata kula huwa sili. Nasimama kujaza mafuta tu. Na huwa natumia wese la 150000