Inahitaji ujasiri kumiliki PASSO

Hii Subaru yenye cc 650 vp wadau? wataalam naomba muichambue.

 

Mpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?

Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.
Kwa taarifa yako PASO inaweza kutoboa South Africa, gari uisemayo wewe itakua ni mbovu
 
Inapumzika muda gani?
Kaka engine haichoki ili mradi tu inafanya kazi katika aptimum condition. Mfano mm narndesda gari ya 4 ss, nlianza na toyota crona nikiwa udsm,nikauza nikanunua toyota opa, nikauza nikanunua passo, nikauza nikarudia passo tena. Ukitaka kwenda sawa na passo acha ligi, japo mm njiani napenda ligi ila na gari km ist na huwa speed yangu ni constant 120+full ac sijawahi fungua vioo. Ukienda hivo wala huichoshi passo utafika hata mbinguni bila shida.
 
Nimeondoka nayo juzi inaenda tunduma moto bati ana5embea 130 muda wote. Ila inachosha sana unajikunja kama kwenye ndoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…