Inahitajika Ze Utamu nyingine

Inahitajika Ze Utamu nyingine

Yo Yo

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2008
Posts
11,210
Reaction score
1,720
Mnaonaje wakuu....hii kitu nimeimisi kinoma kama vipi tutafutane wanaJF makini tuanzishe zeutamu yetu....yale makitu was oooh yeaah
 
Mbona zipo tuu nyingi, tatizo ukiitaja hapa jf, kesho inafungwa.
we need a very serious one kama ile ya zamani....imagine sasa hivi hizi pumba za wakina Nape usingezisikia arifu
 
we need a very serious one kama ile ya zamani....imagine sasa hivi hizi pumba za wakina Nape usingezisikia arifu

ungekuwa uko bussy kule una browrse? kweli kila mtu ana zake
 
mi ninayo yakwangu 2ma picha zako niweke juiangalie uwe bisy arifu, co maniaje niaje lakin
 
Ile mambo ilikuwa tamu sana!
Ilikuwa inasababisha kila mtu kuwa makin wakati wa ku-do cuz ukifanya mzaa unakuta picha zako kwenye blog!
 
Du..! si utani hata mimi nimeimiss sana ile kitu.Nakumbuka nilikuwa nikifungua JF wakati huo ikiitwa....?na huku naifungua ZE utamu,basi hii wakati inasearch ile nyingine uliyominimize inakuwa tayari ishafunguka,ilikuwa burudaaaani kweli kweli.
 
nenda facebook. Kuna demu anaitwa blandina kessy mashalla ndio michongo yake hiyo?
 
Back
Top Bottom