Inakuaje halali polisi anayelinda benki kumzuia mwanamke kupata huduma kisa mavazi yake

Inakuaje halali polisi anayelinda benki kumzuia mwanamke kupata huduma kisa mavazi yake

chikutentema

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2012
Posts
7,694
Reaction score
4,954
Jana tukiwa ktk benki moja ndani ya eneo la chuo cha Udom akatokea askari mlinzi wa hiyo benki akawazuia akina dada kuingia benki kisha kuwamuru kupiga magoti kitu kilichotufanya wadau wa haki za binadamu kuingila kati na kuhoji mipaka ya kazi ya hawa polisi wetu,je ipi liability ya benki under vicarious liability kwani wale akina dada hawkuchukua pesa baada ya kuzuiwa na yule polisi..................wadau mmaombwa kuongeza hoja ili wahusika waweze kuchukuliwa hatua,kazi ya askari ni kufuatilia mavazi kitu kilichoshangaza mavazi yalikuwa na staha yake kwani tulikuwa eneo la tukio
 
aiseeeeeeeeeee babayangu cheo kinatafutwa kwa udi na uvumba
 
Mleta thred hii yaelewe haya yafuatayo
askali anapokuwa yupo eneo la lindo kama benki ana mamlaka kama haya
1.kuangalia ulinzi wa eneo zima la benki
2.kuangalia wateja wa benki wanaoingia na wanaotoka ili kubaini na kuzuia watu wasiingie na vitu kama siraha au kitu chochote ambacho kwa kutumia sheria za mabenki haziruhusiwi eg kuvuta sigara ,kuongea na simu na kadharika
3.kuzuia watu wabaya ambao wanaoingia benki kwa kutumia saikolojia ya jeshi unaposimamishwa na askali eneo la benki lazima atakuwa amebaini kuwa ww siyo mtu mzuri ndipo atatumia sheria ya kukukataza na kukuzuia kuingia ndani ya benki mpaka atakapojilidhisha kuwa ww ni mtu mzuri
4.ni halali kwa askali kukuzuia kuingia ndani kupata huduma za kibenki kama amejilidhisha kuwa ww c mtu mzuri
5.kwa nchi za wenzetu hakuna askali anayelinda benki ila kuna mitambo maalumu inayoangalia watu wanaingia na kutoka askari hakuwa na tatizo ungemlazimisha kuingia ww halafu tatizo likatokea ww unasitahili kujibu na huna mamlaka ya kulazimisha kuingia ndani bila ya ridhaa ya askari
askari wetu wako makini UTII BILA SHURUTI
 
Mleta thred hii yaelewe haya yafuatayo
askali anapokuwa yupo eneo la lindo kama benki ana mamlaka kama haya
1.kuangalia ulinzi wa eneo zima la benki
2.kuangalia wateja wa benki wanaoingia na wanaotoka ili kubaini na kuzuia watu wasiingie na vitu kama siraha au kitu chochote ambacho kwa kutumia sheria za mabenki haziruhusiwi eg kuvuta sigara ,kuongea na simu na kadharika
3.kuzuia watu wabaya ambao wanaoingia benki kwa kutumia saikolojia ya jeshi unaposimamishwa na askali eneo la benki lazima atakuwa amebaini kuwa ww siyo mtu mzuri ndipo atatumia sheria ya kukukataza na kukuzuia kuingia ndani ya benki mpaka atakapojilidhisha kuwa ww ni mtu mzuri
4.ni halali kwa askali kukuzuia kuingia ndani kupata huduma za kibenki kama amejilidhisha kuwa ww c mtu mzuri
5.kwa nchi za wenzetu hakuna askali anayelinda benki ila kuna mitambo maalumu inayoangalia watu wanaingia na kutoka askari hakuwa na tatizo ungemlazimisha kuingia ww halafu tatizo likatokea ww unasitahili kujibu na huna mamlaka ya kulazimisha kuingia ndani bila ya ridhaa ya askari
askari wetu wako makini UTII BILA SHURUTI

....hoja ya msingi hapa ni mavazi,labda mtoa mada angeanisha ni mavazi ya mtindo gani walikuwa wamevaa hao wanawake. kuna mavazi ambayo ukiwa maeneo yanadraw tension kama makoti makubwa,kuvaa kofia kama mzula,helmet na vifananavyo...hapo askari anao uwezo wa kukuhoji kwa sababu za kiusalama!
 
Mleta thred hii yaelewe haya yafuatayo
askali anapokuwa yupo eneo la lindo kama benki ana mamlaka kama haya
1.kuangalia ulinzi wa eneo zima la benki
2.kuangalia wateja wa benki wanaoingia na wanaotoka ili kubaini na kuzuia watu wasiingie na vitu kama siraha au kitu chochote ambacho kwa kutumia sheria za mabenki haziruhusiwi eg kuvuta sigara ,kuongea na simu na kadharika
3.kuzuia watu wabaya ambao wanaoingia benki kwa kutumia saikolojia ya jeshi unaposimamishwa na askali eneo la benki lazima atakuwa amebaini kuwa ww siyo mtu mzuri ndipo atatumia sheria ya kukukataza na kukuzuia kuingia ndani ya benki mpaka atakapojilidhisha kuwa ww ni mtu mzuri
4.ni halali kwa askali kukuzuia kuingia ndani kupata huduma za kibenki kama amejilidhisha kuwa ww c mtu mzuri
5.kwa nchi za wenzetu hakuna askali anayelinda benki ila kuna mitambo maalumu inayoangalia watu wanaingia na kutoka askari hakuwa na tatizo ungemlazimisha kuingia ww halafu tatizo likatokea ww unasitahili kujibu na huna mamlaka ya kulazimisha kuingia ndani bila ya ridhaa ya askari
askari wetu wako makini UTII BILA SHURUTI

ndo awalazimishe kupiga magoti?
 
Ulimi wake ulikuwa mzito alikuwa anataga mzigo huyo akafikili akitumia ile staili iliyo kuwa inatumika JKT enzi zileee atakula mzigo.
 
supposedly, wametumia indiscent exposure hili kuondoa umakini kwa watu akiwemo mlinzi kwa nia ya kufacilitate uhalifu. Mleta mada maelezo yake hayajitoshelezi kabisaa nahisi kama amesimuliwa vile!
 
Mleta thred hii yaelewe haya yafuatayo
askali anapokuwa yupo eneo la lindo kama benki ana mamlaka kama haya
1.kuangalia ulinzi wa eneo zima la benki
2.kuangalia wateja wa benki wanaoingia na wanaotoka ili kubaini na kuzuia watu wasiingie na vitu kama siraha au kitu chochote ambacho kwa kutumia sheria za mabenki haziruhusiwi eg kuvuta sigara ,kuongea na simu na kadharika
3.kuzuia watu wabaya ambao wanaoingia benki kwa kutumia saikolojia ya jeshi unaposimamishwa na askali eneo la benki lazima atakuwa amebaini kuwa ww siyo mtu mzuri ndipo atatumia sheria ya kukukataza na kukuzuia kuingia ndani ya benki mpaka atakapojilidhisha kuwa ww ni mtu mzuri
4.ni halali kwa askali kukuzuia kuingia ndani kupata huduma za kibenki kama amejilidhisha kuwa ww c mtu mzuri
5.kwa nchi za wenzetu hakuna askali anayelinda benki ila kuna mitambo maalumu inayoangalia watu wanaingia na kutoka askari hakuwa na tatizo ungemlazimisha kuingia ww halafu tatizo likatokea ww unasitahili kujibu na huna mamlaka ya kulazimisha kuingia ndani bila ya ridhaa ya askari
askari wetu wako makini UTII BILA SHURUTI

lakini c kupigisha mtu magoti
 
mavazi yalikuwa ya kawaida yaani sket inaishia kwenye magoti kwa mmoja na blazia na mwingine the same kama huyu wa kwanza na hoja yake kubwa huyu polisi alisema wanaihaibisha jamii na hasa chuo kutngazwa vibaya kwenye media ckuwa na kamera kuweza kuchukua ile picha
 
supposedly, wametumia indiscent exposure hili kuondoa umakini kwa watu akiwemo mlinzi kwa nia ya kufacilitate uhalifu. Mleta mada maelezo yake hayajitoshelezi kabisaa nahisi kama amesimuliwa vile!

Mkuu sijasmuliwa nisisi wenyewe wadau wa haki za binadamu ndo tuliingilia kati na kulisolve ambapo tuliwashauri wale akina dada kuchukua hatua zaid za kisheria dhidi ya benki na huyo askari ila baada ya kuwa wameshapata hduma wakadai watapoteza muda wa masomo kufuatilia kesi mahakamani.....
 
lakini c kupigisha mtu magoti

ni hayo mabishano ya whether wapige au la na huyu polisi nio yaliyonifanya mami kufuatilia nini kinaendelea na kugundua udictator huo na kuna wadada walio pembezoni walidai ndio approach yake huyo polisi na kisha kuwaomba namba ya simu baada ya threat hizo
 
Ulimi wake ulikuwa mzito alikuwa anataga mzigo huyo akafikili akitumia ile staili iliyo kuwa inatumika JKT enzi zileee atakula mzigo.

mkuu hiyo hija yako waliisema madada wengine kuwa ndio njia ya hawa polisi na suma hapa ndani ya chuo kuwatongoza madada kwa kuwatengenezea mazingira ya hofu kwanza nadhan ndio njia rahis kwao hawa jamaa
 
huyo askari atakua tu anakabiliwa na ukame na ukata. Hayo matatizo 2 ni mabaya sana ktk jamii ya kitanzania ya sasa kwa mtoto wa kiume, mwambieni aache wivu na afanye kazi kwa bidii/
 
Back
Top Bottom