Kwanini gharama za ununuaji wa umeme zinatofautiana kati ya mtumiaji mmoja na mwingine ikiwa wote wana hadhi sawa?
Mfano, mimi nikinunua umeme wa sh.5000 napata Unit 14 lakini jirani yangu akinunua umeme wa kiasi hicho hicho cha fedha anapata zaidi ya Unit 40.
Kwanini TANESCO mmeamua kutoa huduma kwa upendeleo?
Mfano, mimi nikinunua umeme wa sh.5000 napata Unit 14 lakini jirani yangu akinunua umeme wa kiasi hicho hicho cha fedha anapata zaidi ya Unit 40.
Kwanini TANESCO mmeamua kutoa huduma kwa upendeleo?