Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sirious 100% huwezi kumtokea mdada bila vimkwamo mkwamo.
Hii si kwa binaadamu tu,hata wanyama,ndege na wadudu mpaka watumie hakili ya ziada ndo wawapate wapenzi.why kwanini???
Duuh kama una hela kwanini utumie maarifa mengi. Huna ndio utalijua jiji
Upo sawa kabisa bila mateso huwezi! mateeso kuhangaika.
Wanaume tume umbwa mateeeso,mateeeso!
sie pouwaaah! Hivi mateso ni mpaka utundikwe goligotha? Hiyo kuumiza akili hata kama ni sekunde 2 kwa ajili ya kumpata mdada we unaona sio mateso?Mateso? Nyie vipi? Yani eti kutumia maalifa unaita mateso? There is no free lunch you must obey to the price
Hii si kwa binaadamu tu,hata wanyama,ndege na wadudu mpaka watumie hakili ya ziada ndo wawapate wapenzi.why kwanini???