Inakuaje ndugu wanagombania mali za marehemu?

Inakuaje ndugu wanagombania mali za marehemu?

Optimists

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2021
Posts
379
Reaction score
1,082
Naomba kuuliza swali, nimeona sehemu nyingi baada ya mzazi kufariki, ndugu wanakuja kugombania mali za marehemu alizochuma yeye na mke wake?

Je watoto wa marehemu wanakua ni wadogo mpaka ndugu waje wagombanie?, mfano mtu amezaliwa na kukua mjini, ndugu wa baba wapo sehemu mbali mbali, au vijijini uko, inakuaje sasa baada ya mtu kufariki waje waombe mali ya mzazi wakati watoto ni wakubwa?,

tena unakuta wakati wa uhai wake hakujihusisha na ndugu zake habari ya mali yake?

Soma Pia: Moshi: Amuua mama yake wakigombea mali za marehemu baba yake

20241021_214413.jpg
 
Mkuu sisi watz ndio Taifa la kijinga kuwahi kutokea. Hii situation ineshawhi kunitokea pindi nilipofiwa na mzee wangu nikiwa kijana mdogo. Walichua mirathi yote wakasepa nayo, hakuna mmoja aliyewahi kuulizia hali zetu mpaka utu uzima huu. Omba yasikukute watz ni wanyama
 
Naomba kuuliza swali, nimeona sehemu nyingi baada ya mzazi kufariki, ndugu wanakuja kugombania mali za marehemu alizochuma yeye na mke wake?

Je watoto wa marehemu wanakua ni wadogo mpaka ndugu waje wagombanie?, mfano mtu amezaliwa na kukua mjini, ndugu wa baba wapo sehemu mbali mbali, au vijijini uko, inakuaje sasa baada ya mtu kufariki waje waombe mali ya mzazi wakati watoto ni wakubwa?,

tena unakuta wakati wa uhai wake hakujihusisha na ndugu zake habari ya mali yake?

Soma Pia: Moshi: Amuua mama yake wakigombea mali za marehemu baba yake

Huu ni uongo tu na story za kijiweni...kweli mali wapo wanaokula ila sio hivyo😀😀😀
 
Huyo mtoa mada ni muongo ameongeza chumvi.

Account ya bank huwa haifungwi kabla mahakama haijamteua msimamizi wa mirathi.

Mwenye mamlaka ya kufunga account ni msimamizi wa mirathi tu
akaunti isipogungwa mpaka apatikane wa kusimamia mirathi mtakuta imebaki laki 3 tu kati ya billion 10 alizoacha marehemu 🐒
 
Mkuu sisi watz ndio Taifa la kijinga kuwahi kutokea. Hii situation ineshawhi kunitokea pindi nilipofiwa na mzee wangu nikiwa kijana mdogo. Walichua mirathi yote wakasepa nayo, hakuna mmoja aliyewahi kuulizia hali zetu mpaka utu uzima huu. Omba yasikukute watz ni wanyama
Yaani mfano ndugu wa baba, hatujaonana zaidi ya mara tano wala hatujawahi kukaa pamoja hata kwa mwezi mmoja, ndio waje wang'ang'anie mali? Duh
 
Naomba kuuliza swali, nimeona sehemu nyingi baada ya mzazi kufariki, ndugu wanakuja kugombania mali za marehemu alizochuma yeye na mke wake?

Je watoto wa marehemu wanakua ni wadogo mpaka ndugu waje wagombanie?, mfano mtu amezaliwa na kukua mjini, ndugu wa baba wapo sehemu mbali mbali, au vijijini uko, inakuaje sasa baada ya mtu kufariki waje waombe mali ya mzazi wakati watoto ni wakubwa?,

tena unakuta wakati wa uhai wake hakujihusisha na ndugu zake habari ya mali yake?

Soma Pia: Moshi: Amuua mama yake wakigombea mali za marehemu baba yake

Ccm hao
 
Mkuu sisi watz ndio Taifa la kijinga kuwahi kutokea. Hii situation ineshawhi kunitokea pindi nilipofiwa na mzee wangu nikiwa kijana mdogo. Walichua mirathi yote wakasepa nayo, hakuna mmoja aliyewahi kuulizia hali zetu mpaka utu uzima huu. Omba yasikukute watz ni wanyama
Mkuu Ndugu kuchukua mirathi ni ngumu kwa mjini labda Vijiji uko kwa wasiojua sheria za Mirathi
 
akaunti isipogungwa mpaka apatikane wa kusimamia mirathi mtakuta imebaki laki 3 tu kati ya billion 10 alizoacha marehemu 🐒
Sasa ndugu wa baba watajuaje namba za sili za kadi na hawezi kwenda kuchukua pesa Bank na kujaza form ya kutoa pesa ni vigumu ila wataweza kutoa pesa kama kadi wazo na wana password.
 
Sasa ndugu wa baba watajuaje namba za sili za kadi na hawezi kwenda kuchukua pesa Bank na kujaza form ya kutoa pesa ni vigumu ila wataweza kutoa pesa kama kadi wazo na wana password.
labda huyo baba ana mtoto moja tu tena wa kike mdogo,
lakini kama mko saba, watatu Lazima wanaijua ATM ya baba iliko na namba za siri na wanaweza kudeal na watu wa benki na mambo yakawa sawa..

kufa kufaana gentleman 🐒
 
Yaani mfano ndugu wa baba, hatujaonana zaidi ya mara tano wala hatujawahi kukaa pamoja hata kwa mwezi mmoja, ndio waje wang'ang'anie mali? Duh
Ukoo wote ndio hujulikana wakati huo..
 
Jamani kumiliki mguu wa kuku sio ombi ni amri .
Ujinga wa hivi ukitokea ukamuweka ndugu mmoja Kati nakuambia wataogopa hata hawatadai tena
 
Back
Top Bottom