JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,118
- 4,863
Ukiangalia shoo za wasaniii wa bongo wakiwa stejini utakuta kuna vijitu vinaenda kuwatuza wasanii kwa kuwapatia hela na msanii utakuta anapokea au anamwagiwa kwa steji yake.
Tofauti naiona kwa wasanii wa mbele utakuta msanii akipanda kwa steji inafikia wakati anatoa bulungutu na kuanza kuwamwagia hela mashabiki. Ni nadra sana kwa mshabiki wa mbele kwenda stejini kumtunza msaniii kama Beyonce, au au Quavo, au Offset, au Kanye, au Jay Z ni kichekesho cha karne, au Nicki Minaji au, Bieber.
Nazani ifike wakati wasanii wa Bongo waache kupokea tunzo toka kwa mashabiki kwani sasahv wanamudu kuwa na ma bodigadi zaidi ya hamsini waanze kuwa wanarusha pesa kuwapatia mashabiki wao ukumbini.
Tofauti naiona kwa wasanii wa mbele utakuta msanii akipanda kwa steji inafikia wakati anatoa bulungutu na kuanza kuwamwagia hela mashabiki. Ni nadra sana kwa mshabiki wa mbele kwenda stejini kumtunza msaniii kama Beyonce, au au Quavo, au Offset, au Kanye, au Jay Z ni kichekesho cha karne, au Nicki Minaji au, Bieber.
Nazani ifike wakati wasanii wa Bongo waache kupokea tunzo toka kwa mashabiki kwani sasahv wanamudu kuwa na ma bodigadi zaidi ya hamsini waanze kuwa wanarusha pesa kuwapatia mashabiki wao ukumbini.