Inakuwaje binti anakuwa na wivu kwa baba yake?

Inakuwaje binti anakuwa na wivu kwa baba yake?

Ketoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2015
Posts
1,117
Reaction score
1,966
Moja ya kisa nilichoshuhudia katika mji wa Shinyanga

Binti wa miaka 24 baada ya kumuona baba yake akiwa na mchepuko mtaani ,maeneo fulani fulani,akatimka mbio mpaka nyumbani na kumwambia mama yake

"Mama nimemuona baba na mchepuko sehemu fulani" mama akaamka,mguu kwa mguu na binti mpaka sehemu husika na fujo zikaanza kutokea

Hivi na binti anamuonea wivu baba yake kuwa na mchepuko?

Je na Kijana akimuona mama yake akiwa na mchepuko ataumia na kumwambia baba yake?


Vipi watoto wanaweza kuwa walinzi wa ndoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ya kisa nilichoshuhudia katika mji wa Shinyanga

Binti wa miaka 24 baada ya kumuona baba yake akiwa na mchepuko mtaani ,maeneo fulani fulani,akatimka mbio mpaka nyumbani na kumwambia mama yake

"Mama nimemuona baba na mchepuko sehemu fulani" mama akaamka,mguu kwa mguu na binti mpaka sehemu husika na fujo zikaanza kutokea

Hivi na binti anamuonea wivu baba yake kuwa na mchepuko?

Je na Kijana akimuona mama yake akiwa na mchepuko ataumia na kumwambia baba yake?


Vipi watoto wanaweza kuwa walinzi wa ndoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali ya kitoto sisi hatuwezi kuyajibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimuona mwizi kaingia nyumbani lazima umuelezee mzee kama tunaibiwa.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Moja ya kisa nilichoshuhudia katika mji wa Shinyanga

Binti wa miaka 24 baada ya kumuona baba yake akiwa na mchepuko mtaani ,maeneo fulani fulani,akatimka mbio mpaka nyumbani na kumwambia mama yake

"Mama nimemuona baba na mchepuko sehemu fulani" mama akaamka,mguu kwa mguu na binti mpaka sehemu husika na fujo zikaanza kutokea

Hivi na binti anamuonea wivu baba yake kuwa na mchepuko?

Je na Kijana akimuona mama yake akiwa na mchepuko ataumia na kumwambia baba yake?


Vipi watoto wanaweza kuwa walinzi wa ndoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ww na huyo binti wote ni watoto. Alichofanya huyo binti ni reaction ya kumuona baba anafanya mambo ambayo si mazuri kwa familia na mama mzazi...

Wala si wivu. Ni reaction ya kawaida.

Mitoto mingine kama ww sijui mmelelewaje. Yaan mnaona kuchepuka ni jambo la kawaida tu? Madhara kwa familia na magusiano hamjali..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoto wa kiume haenda kumwambia dingilee.
Analianzisha hapo hapo.
Ila wanawake wengi sana wanajiheshimu.
Hawezi kufanya upumbavu kama anajua jamaa inayomzunguka ni ya aina gani.
Wanaume hata kama mama yake yupo karibu anaweza akachukua goma anaondoka nalo
 
Baba wa familia anatakiwa awe na maadili mema ili aweze kulea watoto wake katika maadili mema,watoto ndio taifa la kesho,
Kama baba anakua hana maadili unategemea kua atakua analitengenezea taifa kizazi cha aina gani? maadili ya maisha au kazi huanzia nyumbani na toka utotoni kwa kulelewa kwenye maadili mema na misingi imara.
 
kwa hiyo wewe ukimkuta mamako anapigwa mate na jamaa usiyemjuwa utafurahia tu
 
Back
Top Bottom