Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhuru wa kuchagua,na wa kujieleza na wa kuheshimiwa chaguzi zake.Kuchagua
Mkuu,mleta mada hajasema kua ni ajabu bali ametaka kujua jambo hili husababishwa na nini? ni issue ya kujua tu,huenda humu hata ukapatikana ufumbuzi kama kutakua na tatizo linalosababisha hayo.Cha ajabu nini kwani
Basi sawaMkuu,mleta mada hajasema kua ni ajabu bali ametaka kujua jambo hili husababishwa na nini? ni issue ya kujua tu,huenda humu hata ukapatikana ufumbuzi kama kutakua na tatizo linalosababisha hayo.
C hua wanatangaza wenyewe kabisa na kusema ni wakiristoWewe umejua je ni wakristo? Maana mtu hatambuliki kwa jina bali kwa matendo yake
Aisee ume analyse vizuri sana bravo mkuuWakristo wengi wanafiki.
Wanavyokuwa mabinti vyuoni wanazini na waume za watu.
Ila wakitaka kuolewa wanataka waume zao peke yao.
Na dhahabu inakuwa ishageuka mchanga wa kujengea.
Tena wengine wanakuwa washazalishwa kabisa na hao waume za watu.
Sasa si uendelee tu kuwa nyumba ndogo?
Safi, jibu zuri kabisaCha ajabu nini kwani
Wanajitambulisha wenyewe swala la kusema awe mkristo ina maana na yeye ni mkristoWewe umejua je ni wakristo? Maana mtu hatambuliki kwa jina bali kwa matendo yake
Kama jina gani la kikristo Lina mvuto!?Majina ya kiislam hayana mvuto ndo maana wapojiuza wanajipa majina ya kikristo, pia waislam si wanafiki wanajifanya wanaogopa dini huku wanakulana tigo, kafanye tena utafiti wako.
Jamaa umekondaWanajitambulisha wenyewe swala la kusema awe mkristo ina maana na yeye ni mkristo
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app