Inakuwaje hii, watafuta waume wengi ni Dada zangu wa kikiristo

Inakuwaje hii, watafuta waume wengi ni Dada zangu wa kikiristo

Kwa sababu wanawake wa kiislamu wanaweza kuolewa hadi 4 na mwanaume 1 hivyo ni rahisi kwao kujipitisha kwa Maustaadh, tofauti na wakristo ambao ndoa inatambulika ya mke mmoja na mume mmoja tu.

Umeridhika sasa!!
 
Wewe umejua je ni wakristo? Maana mtu hatambuliki kwa jina bali kwa matendo yake
 
Wakristo wengi wanafiki.
Wanavyokuwa mabinti vyuoni wanazini na waume za watu.
Ila wakitaka kuolewa wanataka waume zao peke yao.
Na dhahabu inakuwa ishageuka mchanga wa kujengea.
Tena wengine wanakuwa washazalishwa kabisa na hao waume za watu.
Sasa si uendelee tu kuwa nyumba ndogo?
 
Wakristo wengi wanafiki.
Wanavyokuwa mabinti vyuoni wanazini na waume za watu.
Ila wakitaka kuolewa wanataka waume zao peke yao.
Na dhahabu inakuwa ishageuka mchanga wa kujengea.
Tena wengine wanakuwa washazalishwa kabisa na hao waume za watu.
Sasa si uendelee tu kuwa nyumba ndogo?
Aisee ume analyse vizuri sana bravo mkuu
 
wanaringaaga sana kudadeki zao wengi ni vibibi, yaani itafika mahali waislam watawazidi wakristo kila kitu ijapokuwa walianza kidogo.
 
Majina ya kiislam hayana mvuto ndo maana wapojiuza wanajipa majina ya kikristo, pia waislam si wanafiki wanajifanya wanaogopa dini huku wanakulana tigo, kafanye tena utafiti wako.
 
Back
Top Bottom