Inakuwaje hii ya uwezo??

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
mwanzoni mwa wiki hii nilisikiliza kipindi cha pb cha cloudsfm, kuhusu matangazo ya kuahamasisha maisha na vvu. Nikamsikia “uwezo mmoja” anasema yeye ni mwalimu anaishi na vvu takriban miaka 10sasa, ila kinga ya mwili wake ipo juu. Ila mkewe nae hana vvu. Wana watotowawili moja ana miaka 10 na mwingine anamiaka miwili ila wote hawana vvu..
nilishindwa kelewa ilikuwaje kwa bw.uwezo ambae ameathirika takribani miaka kumi iliyopita akashindwa kumwambukizamkewe wakati wa kumtatufa mtoto wao mwenye miaka miwili ??? Inawezekana mke akapata ujauzito lakini asiambukizwe ukimwi
 
Mtu hupata hiv kutokana na kirusi kuweza kuji-attach kwenye 'binding factor' ambayo ni unique na iko kwenye uso wa seli nyeupe ya damu. Kuna baadhi ya watu wanazaliwa bila kuwa na binding factor (genetic disorder). Hao hawawezi kupata ukimwi. Hiyo ni scenario ya kwanza.
Ya pili, ambayo ina slim chance ni kutokua na michubuko wakati wa tendo la ndoa. Haya,muwaandae wenzenu kwa uzuri na msikomeshiane, bt don't take chance,lol!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…