Inakuwaje hii??...

Mbrazili

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
649
Reaction score
90
Habari zenu wakuu.....nauliza hivi kwa mfano umepewa mkopo na heslb.....,labda kwenye tuition fee ya 1500000 wakakulipia milioni 1 je ile laki 5 ambayo imebaki ni lazima uanze kulipia nusu yake semester ya kwanza then umalizie baadae au unaweza usilipe kabisa ukaja kutoa yote laki 5 semester ya pili kwa maana ile milioni moja uliyopewa na bodi imeshavuka nusu???....
 

Ngoja waje wajuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…