Habari zenu wakuu.....nauliza hivi kwa mfano umepewa mkopo na heslb.....,labda kwenye tuition fee ya 1500000 wakakulipia milioni 1 je ile laki 5 ambayo imebaki ni lazima uanze kulipia nusu yake semester ya kwanza then umalizie baadae au unaweza usilipe kabisa ukaja kutoa yote laki 5 semester ya pili kwa maana ile milioni moja uliyopewa na bodi imeshavuka nusu???....