Inakuwaje Kenya ndiyo iwe mpinzani wa Tanzania

Inakuwaje Kenya ndiyo iwe mpinzani wa Tanzania

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Tanzania inapakana na nchi nyingi tu ila inakuwaje Kenya na Tanzania inakuwa kama Simba na yanga,
 
Ujuaji, utumwa wa fikra, chuki, wivu, roho mbaya, hizi ndizo sababu kuu,

Mtanzania anaweza kuishi vzr na watu wote wa ukanda huu, lkn mkenya hawezi, sababu kuu ni ile minsdset ya kitumwa waliyovishwa na aina ya utawala wao(ubepari) kujiona wao ni bora zaid ya wengine, pia ubinafsi na kujipenda wao tu, hii ndiyo shida ya hao watu.

Kama aina ya viongozi wa Tz wangezaliwa Kenya kipindi cha kupigania uhuru nina imani hawa wakenya wangekuwa na umoja mzuri, bila ya ukabila pia wangekuwa na akili ya kuliunganishaTaifa lao kwa lugha mama moja ya wazawa na sio lugha ya mkolon ambayo leo hii wanaitumia badala ya lugha zao za asili(utumwa wa fikra).

Kenya ilishaaharibiwa na aina ya utawala walio nao, ni vigumu hawa watu kuishi vzr na majiran zao, kama wao wenyewe kama Taifa hawana umoja zaid ya chuki na kujiona wazungu unadhan wataweza kuwapenda majiran?.
 
Ujuaji, utumwa wa fikra, chuki, wivu, roho mbaya, hizi ndizo sababu kuu,

Mtanzania anaweza kuishi vzr na watu wote wa ukanda huu, lkn mkenya hawezi, sababu kuu ni ile minsdset ya kitumwa waliyovishwa na aina ya utawala wao(ubepari) kujiona wao ni bora zaid ya wengine, pia ubinafsi na kujipenda wao tu, hii ndiyo shida ya hao watu.

Kama aina ya viongozi wa Tz wangezaliwa Kenya kipindi cha kupigania uhuru nina imani hawa wakenya wangekuwa na umoja mzuri, bila ya ukabila pia wangekuwa na akili ya kuliunganishaTaifa lao kwa lugha mama moja ya wazawa na sio lugha ya mkolon ambayo leo hii wanaitumia badala ya lugha zao za asili(utumwa wa fikra).

Kenya ilishaaharibiwa na aina ya utawala walio nao, ni vigumu hawa watu kuishi vzr na majiran zao, kama wao wenyewe kama Taifa hawana umoja zaid ya chuki na kujiona wazungu unadhan wataweza kuwapenda majiran?.
We are not complaining, now are we? Fagia kwako!
 
Tanzania inapakana na nchi nyingi tu ila inakuwaje Kenya na Tanzania inakuwa kama Simba na yanga,
Ni kwa sababu ya utofauti wa itikadi, ujamaa vs ubepari. Hata uko Ulaya, itikadi hizo mbili hazipikwi chungu kimoja.
 
Mafahari wawili.

Hapo TZ ni first born anajiona mkubwa kihistoria, kijiografia n.K wakati KE ni sawa na second born ambaye yupo smart kichwani na anavichenji chenji vya kubadilishia mboga na pride basi dharau haziishi kwa mkubwa wake na anasumbuliwa na inferiority complex na anatumia nguvu kuprove kuwa yupo powerful..
 
Tanzania inapakana na nchi nyingi tu ila inakuwaje Kenya na Tanzania inakuwa kama Simba na yanga,
Ukweli ni kwamba wapendanao ndio wagombanao. Ni nchi ipi nyingine inayopakana na TZ ambayo Mtanzania anaweza kuishi na kujihisi yupo nyumbani?
 
I doubt, Kenya tumeshawapita mbali sana, Isipokuwa fikra za watanzania wanagoma kukubali hili, we are far way!
-Coal,
-Tiles export
-cereal
-tourism
-busy port
-flocks of coming investors
Pita mkoa wa Pwani ndio utajionea viwanda vya kukustaajabisha.
 
Back
Top Bottom