Inakuwaje kila nikivundika mkungu, ndizi haziwi mbivu hadi nipake chumvi au majivu?

Inakuwaje kila nikivundika mkungu, ndizi haziwi mbivu hadi nipake chumvi au majivu?

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Inakuwaje ndizi zinakuwa zimekomaa kabisa, tena zingine kukomaa kiasi cha kuanza kupasuka lakini nikizikata ili nizivundike ziwe mbivu basi huwa haziivi vizuri, na hata zikiiva basi inakuwa kwa kuruka ruka, yaani inaiva moja chini, kati au juu pasipo mtiririko.

Lakini nikiweka chumvi au majivu kwenye shina la mkungu basi zote huiva kwa mara moja na kuwa mbivu!

Je, ipi nguvu ya chumvi katika hili?
 
Ngoja nikuitie mtaalum wa mambo ya upande wa pili! Mshana Jr huyo ndo mtaalum sasa..
 
Ni mtaalam wa uivaji wa ndizi?
Subiri uje uone chumvi inavyodadavuliwa utaambiwa inatoa hadi mikosi!.. subiri utashuhudia labda akwepe tu lkn wanasemaga jasiri haachi asili 😜
 
Subiri uje uone chumvi inavyodadavuliwa utaambiwa inatoa hadi mikosi!.. subiri utashuhudia labda akwepe tu lkn wanasemaga jasiri haachi asili 😜


Aisee acha uchochezi.
 
Inakuwaje ndizi zinakuwa zimekomaa kabisa, tena zingine kukomaa kiasi Cha kuanza kupasuka lakini nikizikata ili nizivundike ziwe mbivu basi huwa haziivi vizuri, na hata zikiiva basi inakuwa kwa kuruka ruka, yaani inaiva moja chini, kati au juu pasipo mtiririko.

Lakini nikiweka chumvi au majivu kwenye shina la mkungu basi zote huiva kwa mara moja na kuwa mbivu!

Je, ipi nguvu ya chumvi katika hili?
Ili ndizi iweze kuiva inaitaji chemical inayoitwa acetylene ambayo inapatikana kwenye ndiz iliyo iva tayali sasa ili ndizi zako ziweze kuiva kwa pamoja chukua ndizi iliyo iva alafu changanya na zile mbichi lkn ziwe zimekomaa alafu funika ili kuzuia acetylene isi potee maana acetylene ipo kwenye mfumo wa gas kwaiyo inaweza kusambaa haraka na kupotea kwaiyo inabid ufunike na kipande cha nguo baada ya siku 5 adi 10 ndizi zako zitakuwa zimeiva na kubadilika langi na kuwa njano ya kuvutia [emoji529][emoji529]
 
Sasa hizo siku 10 za kusubiri, hiyo nyingine(iliyoiva) si itakua imeshaanza kuoza?
 
Ili ndizi iweze kuiva inaitaji chemical inayoitwa acetylene ambayo inapatikana kwenye ndiz iliyo iva tayali sasa ili ndizi zako ziweze kuiva kwa pamoja chukua ndizi iliyo iva alafu changanya na zile mbichi lkn ziwe zimekomaa alafu funika ili kuzuia acetylene isi potee maana acetylene ipo kwenye mfumo wa gas kwaiyo inaweza kusambaa haraka na kupotea kwaiyo inabid ufunike na kipande cha nguo baada ya siku 5 adi 10 ndizi zako zitakuwa zimeiva na kubadilika langi na kuwa njano ya kuvutia [emoji529][emoji529]
Safi ngoja nitajaribu njia hiii
 
Sasa hizo siku 10 za kusubiri, hiyo nyingine(iliyoiva) si itakua imeshaanza kuoza?
Ndio mkuu baada ya siku tatu adi nne unaweza kuitoa iyo ndizi na kuweka nyingine adi siku nne mbele zote zitakuwa zimeiva
 
Ndio mkuu baada ya siku tatu adi nne unaweza kuitoa iyo ndizi na kuweka nyingine adi siku nne mbele zote zitakuwa zimeiva
hiyo Ndizi unapoiweka unatakiwa kuimenya ili itoe hiyo gas au unaiweka pasipo kuimenya? maana umesema gas inapotea haraka sijaelewa inapoteaje Wakati ndizi inakuwa na ganda lake tangu huko unakoitoa
 
Ili ndizi iweze kuiva inaitaji chemical inayoitwa acetylene ambayo inapatikana kwenye ndiz iliyo iva tayali sasa ili ndizi zako ziweze kuiva kwa pamoja chukua ndizi iliyo iva alafu changanya na zile mbichi lkn ziwe zimekomaa alafu funika ili kuzuia acetylene isi potee maana acetylene ipo kwenye mfumo wa gas kwaiyo inaweza kusambaa haraka na kupotea kwaiyo inabid ufunike na kipande cha nguo baada ya siku 5 adi 10 ndizi zako zitakuwa zimeiva na kubadilika langi na kuwa njano ya kuvutia [emoji529][emoji529]
Asante mkemia wetu
 
hiyo Ndizi unapoiweka unatakiwa kuimenya ili itoe hiyo gas au unaiweka pasipo kuimenya? maana umesema gas inapotea haraka sijaelewa inapoteaje Wakati ndizi inakuwa na ganda lake tangu huko unakoitoa
Apana mkuu akuna haja ya kuimenya maana iyo gas inakuwa inapita taratibu kupitia kikonyo cha ndizi
 
Nguvu ya chumvi mzee wetu mshana aje atueleze vizuri
 
Back
Top Bottom