The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Duh! Si mchezo dada yangu huyo kalainika
Kama ule sijui wa nani yule anajiita MASHAUZInilitaka uwe msumbufu kidogo
mbona wakubali haraka....?
hivi out of curious una mitikisiko ya pwani????
Kama ule sijui wa nani yule anajiita MASHAUZI
Usumbufu unapoteza muda!Ila kama unataka naweza kukuzungusha round kadhaa!Kuhusu swali lako ngoja nilifanyie uchunguzi!nilitaka uwe msumbufu kidogo
mbona wakubali haraka....?
hivi out of curious una mitikisiko ya pwani????
Duh! Si mchezo dada yangu huyo kalainika
Usumbufu unapoteza muda!Ila kama unataka naweza kukuzungusha round kadhaa!Kuhusu swali lako ngoja nilifanyie uchunguzi!
Puhhleeez!Sisahau mie mpaka kufa...umesahau nilikwambia like goldfish husahau after three minutes?????
Wale huwa nawasikia tu itabidi siku moja nianze kuwatembelea na kufanya asesimentiau wale wanaitwa kitu k umewahi kuwaona?
Puhhleeez!Sisahau mie mpaka kufa...
Wale huwa nawasikia tu itabidi siku moja nianze kuwatembelea na kufanya asesimenti
Nimepata jibu!Ni ummh ummh...ahh nimeshindwa kusema!Sikufunzwa kujisifia!nasubiri....
you keep turning me on....
nitakususia tembo card yangu wewe....
Hehehe nataka uikane kabisa...niongeze nini?
Nimepata jibu!Ni ummh ummh...ahh nimeshindwa kusema!Sikufunzwa kujisifia!
Boss amedipositi a large amount of money in my accountYani katika harakati za kumdanganya The Boss brah nae kadanganyika?
Boss amedipositi a large amount of money in my account
na card yangu ya visa?
hebu sema sasa mitikisiko ipo haipo?
Boss amedipositi a large amount of money in my account
we mwambie you are a shareholder kwenye kampuni yangu...