Dayyym...najaribu nashindwa!Ngoja nikupe picha....chora nane alafu kiziro cha chini kiwe kikubwa karibu mara mbili ya chajuu!
mhhhh
in that case.....
ile nyumba yangu ya masaki.....labda itakufaa...
but mbona kama siamini...
Very soon you wil know whyAnakuhonga wewe kwanini?
Weee...usikute we ndo ulimsogeza pande hizi!Very soon you wil know why
Ukidanganywa unaamini ukiambiwa ukweli unakua na wasiwasi....?It is what it is...we jiandae kutoa funguo hizo!
ok lets say shepu ipo?
ujuzi upoo?
na hii inanifanya niamini kuwa ni kwel WANAWAKE WANA AKILI YA KUVUKIA BARABARA.Kuna hili swali linanisumbua sana kichwani mwangu:
Hivi inakuwaje msichana anaweza kutoka kuongea na shoga yake kuhusu habari za msichana mwenzao ambaye amepewa ujauzito na lijamaa tu la mtaani ambalo halina mbele wala nyuma kimaisha, na yeye baada ya mazungumzo hayo akaenda kufanya vivyo hivyo. Unaweza kukuta ni mwanafunzi wa shule, akaenda kufanya ngono na kuambulia ujauzito na kijana wa mtaani ambaye hana nia wala uwezo wa kumuoa? Inakuwaje mambo haya jamani, kwa nini asijifunze?
na hii inanifanya niamini kuwa ni kwel WANAWAKE WANA AKILI YA KUVUKIA BARABARA.
ni kweli ila mama angu umemuweka hapo ni sawa ila kwa vile kanizaa inakua vigum kumjumuhishaLoh!Yani hata mama Mwanakili nae hivyo hivyo?Nasikitika kweli kuona dharau za aina hiyo zikielekezwa kwa mama ...wenzi na dada zenu.
ni kweli ila mama angu umemuweka hapo ni sawa ila kwa vile kanizaa inakua vigum kumjumuhisha
Over here Boss....where areyou lizzy????????
Sikuoni
Angalia tena...
naangalia sioni shepu namba nane...
Embu washa taa alafu vua na hiyo miwani!
Loh!Mbona unanitukana aisee!?1 na 8 wapi na wapi?so far naona shepu namba moja