MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Wapendwa wangu
Its my greates hope kuwa mu wazima kabisa. Nimewamisije mwenzenu?
Its my greates hope kuwa mu wazima kabisa. Nimewamisije mwenzenu?
Nway nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu kuhusu mahusiano najikuta natoka kapa. The more you struggle to understand it, the more confused you become.
Najua karibia wote tunajua uchungu wa kupenda mtu ambaye mapenzi yake yako kwa mtu mwingine, na mbaya zaidi pamoja na kujua hilo bado tunajitahidi kumpenda na kufanya juu chini abadili mwelekeo wa mapenzi yake toka kwa huyo mtu mwingine yarejee upande wako.
Wengi tumejikuta (au wamejikuta) wanapenda mahali palipojaa yaani kama ni kazi basi twaomba sehemu ambako tayari nafasi zishajaa lakini tunajipa moyo na kuhangaika kuwin that heart. Si hivyo tu kwa wale ambao tayari wako kwenye relationship ya pamoja kuna wanaojikuta wenzi wao wanafall kwa third person na bado tunafanya juu chini kumnyakua kutoka huko alikofall kwa mtu wa tatu arudi kwetu.
Hii mambo kwangu ni ngumu..........nawaza kama kafall kwa mwingine in the first place.......kwa nini usiushurtishe moyo wako umwachie aende kuliko kustruggle ili arudi (wengine huenda extra miles kwa waganga!!)
Inakuwaje mambo haya??
Mimi nakumbuka there was this guy...oh my GOD.....yaani alifikia hatua ya kunipa ratiba kabisa kuwa leo ninakwenda kwa flani nami nikajikuta nakubali na kuhangaika kumwonyesha mapenzi but at the end of day I lost him completely.......