thx darling,ur so considerate,,,,ntakuja fasta hope u won't break my heart,
Dahhh
Mambo kama haya yaposana
Lakini kitu nilichogundua huwezi
king'ang'ania penzi ..utahangaika
juu chini kumshikilia lakini kama penzi halipo
hatashikika...
Borea uishi pekee
Yako .kuliko kuishi na mtu
Ambaye mwili tu ndo uko hapo
akili, mawazo, roho, na kila kitu
internally kiko kwa mtu mwingine..
o sababu mbili tu
zinazofanya watu wasiopendana
Kuishi pamoja nazo ni mali na familia.[/QUOTE]
AD hapo kwenye red ongzea Dini au tuseme Imani ya dini.
You know me, don't you? Am a heart mender....not heart breaker!!
i do! And i will be the lucky one! Lkn ujue ukianza tu no tym will be wasted:hatari:
Me aint time waster darling.........time is money and No money No Love.
hey hey!u sound more sweet i feel lyk changing my mind even now,is the rum available this mnt?
DaaahhDahhh
Mambo kama haya yaposana
Lakini kitu nilichogundua huwezi
king'ang'ania penzi ..utahangaika
juu chini kumshikilia lakini kama penzi halipo
hatashikika...
Borea uishi pekee
Yako .kuliko kuishi na mtu
Ambaye mwili tu ndo uko hapo
akili, mawazo, roho, na kila kitu
internally kiko kwa mtu mwingine..
o sababu mbili tu
zinazofanya watu wasiopendana
Kuishi pamoja nazo ni mali na familia.[/QUOTE]
AD hapo kwenye red ongzea Dini au tuseme Imani ya dini.
sante mkuu
Kweli dini inachangia sehemu kubwa..
Naunga mkono hoja ya Babu ODM kwenye sredi hii, sina cha kuongeza
Hommie huku kuungana mkono hakuna uhusiano wowote wa kununuliana biya?
Hommie huku kuungana mkono hakuna uhusiano wowote wa kununuliana biya?
Michelle........... Aksante mydia
Huwa nachoka pale tunapovumilia na visivyovumilika....mie hadi leo hii na uzee wangu nikikumbuka nloyafanya kwa kijana yule enzi zile loh nashikwa na hasira haswa!! But it was a good lesson kwangu...... never repeated again ......akisema ana mwingine ntatoa baraka zangu zote lol
Mjukuu mtiifu, babu ako haelewi maana ya hiyo hapo kwa red (damn uzee)...waweza kunidadavulia wakati naendelea kuielewa hii thread yako? Ahsante kwa kunielewa.
Wakati naendelea kuielewa, ngoja nikunong'oneze (Samahani sijapiga mswaki)......unajua kuwa mapenzi ni upofu na ukiziwi kwa apendaye pale asipopendwa?...atafanyiwa kila visa lakini atakuwa haoni, ataambiwa kila uchafu lakini atakuwa hasikii......
Sasa hii ya kurudi mara ya pili, baada ya wewe kumtapika, ukweli ni kuwa wakati ulivyokuwa ukimpenda ulikuwa unampa vitu vyote (ili usimpoteze, siyo?) Kama ni kitandani ulikuwa unawajibika ipasavyo, kama kiuchumi ulikuwa unamkabidhi kipato chako ili atumie atakavyo....... Kwa kifupi ulikuwa unampa kila kitu kwa gharama ya juu ili usimpoteze......Sasa huko aliko hapatiwi vitu hivyo, au alikuwa anapatiwa na sasa amenyimwa ghafla wakati bado ana kiu navyo.......... atapiga mahesabu yake na kuku-kumbuka "mjinga wake"......Atatafuta njia zote akurudie, atajifanya anajutia mabaya aliyokutendea, atamsingizia shetani, ataapa kwa miungu ya kwao kuwa hatakuumiza tena.........
Mjukuu mtiifu, amini, amini nakuambia.... Akirudi huyo usijidanganye, ukampa kama zamani, kiu yake ikikatika atakupiga pigo jingine kuu. Na mara nyingi pigo la pili laweza kuleta maafa makubwa zaidi.........usithubutu kukutwa, watakucheka watu!
Narudi kitandani kumalizia usingizi wakati nikiendelea kuielewa hii sredi.
Babu aksante kwa ushauri wako mh..........kweli mahusiano ni mtihani kwa kweli. Well hapo kwenye red najaribu kujiuliza ni penzi lipi analimiss? Lile genuine ambalo nlikuwa nampa kabla hajawa na Havijawa au lile nlokuwa namwonyesha ili kumtoa kwa Havijawa arudi kwangu?? (maana I went extra miles kwa kweli)
But Babu umesomeka, umeeleweka na busarzo zimechukulika. Aksante sana
Kifo cha penzi ni kifo kibaya usikiombe kifo cha penzi
Heri ufe kwa kugongwa na gari ya treni,