Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahi 😂😂😂😂Mimi ninataka kila kitu ngoja nije Whatsapp😂
Zote mkuuu kasoro viungo vya binadamuUnauza bidhaa gani madam?
Hawanipati 😅😅😅Ila wafanyabiashara bana ukiwakuta tik tok,instagram , Twitter hata JF humu wanakwambia njoo watsup nina group ukienda njoo inbox ukienda piga au nitumie sms ya kawaida kwa majibu ya haraka zaidi ukituma analalamika mpo wengi hivyo hawezi jibu haraka
Najisogeza pm kwako mkuu huenda nikawa mteja mzuri wa mojawapo ya bidhaa unazomiliki..Zote mkuuu kasoro viungo vya binadamu
Najisogeza pm kwako mkuu, natarajia kuwa mteja bora wa mojawapo ya bidhaa unazouza..Zote mkuuu kasoro viungo vya binadamu