Inakuwaje Mwigulu anawadharau na kuwaona Watanzania wajinga? Alituambia tuhamie Burundi sasa hivi anadai tujadili uganga

Inakuwaje Mwigulu anawadharau na kuwaona Watanzania wajinga? Alituambia tuhamie Burundi sasa hivi anadai tujadili uganga

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Huyu mtu anadharau sana na ana tuona watanzania ni wajinga.

Fikiria kipindi kile anatengeze tozo kandamizi kwa raia wasiojiweza alisema kwa dharau tuhamie burundi.

Leo hii mfumuko wa bei upo juu na watu wanakula mlo mmoja yeye anadai eti tujadili uganga. Maana yeye ni mchumi pekee hapa Tanzania.

Hivi anatuona wajinga?
 
Huyu mtu anadharau sana na ana tuona watanzania ni wajinga.

Fikiria kipindi kile anatengeze tozo kandamizi kwa raia wasiojiweza alisema kwa dharau tuhamie burundi.

Leo hii mfumuko wa bei upo juu na watu wanakula mlo mmoja yeye anadai eti tujadili uganga. Maana yeye ni mchumi pekee hapa Tanzania.

Hivi anatuona wajinga?
WATANZANIA HAMNA CHA KUFANYA MWIGULU KIPINDI KILE ALIWAAMBIE NENDENI BURUNDI MLIMFANYA NINI MBONA MLIUFYATA? HONGERA SANA MWIGULU[emoji122][emoji122]
 
53884462-5e8e-4ada-9c2d-69917bdff448.jpg

[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Sasa utamfanya nini we ngeke? Kalime mchele kwenye majaruba Dada uje nawe uuze bei ya juu upate mihela mingi.

Wakulima nchi hii nizaidi ya 70% chakula kikipanda bei uchumi wao unakuwa Juu, hivi karibuni vifaa vya ujenzi vilipanda bei na wengine wakawa wanajiamria bei wanazotaka hamkupiga kelele!

Leo na sisi wakulima tunajivunia mihela mnalalama nyie kenge msiojielewa! Njoo huku Majarubani uone kilimo kilivyo we punguani wa Kyiev.

By Mchumi kutoka Matopeni!
 
Huyu mtu anadharau sana na ana tuona watanzania ni wajinga.

Fikiria kipindi kile anatengeze tozo kandamizi kwa raia wasiojiweza alisema kwa dharau tuhamie burundi.

Leo hii mfumuko wa bei upo juu na watu wanakula mlo mmoja yeye anadai eti tujadili uganga. Maana yeye ni mchumi pekee hapa Tanzania.

Hivi anatuona wajinga?
Kiukweli sisi ni wajinga. Hakuna hatua yoyote itakayochukuliwa utalalamika hapa ataendelea kuongea na hutamfanya kitu. Nishawahi sema Tanzania ni wazuri nyuma ya keyboard na mitandao ila siyo kuchukua action. Imeisha hiyo
 
Ni kada mwenzako hapo Lumumba, vaa ujasiri muulize mwenyewe utuletee majibu.
Huyu mtu anadharau sana na ana tuona watanzania ni wajinga.

Fikiria kipindi kile anatengeze tozo kandamizi kwa raia wasiojiweza alisema kwa dharau tuhamie burundi.

Leo hii mfumuko wa bei upo juu na watu wanakula mlo mmoja yeye anadai eti tujadili uganga. Maana yeye ni mchumi pekee hapa Tanzania.

Hivi anatuona wajinga?
 
Sasa utamfanya nini we ngeke? Kalime mchele kwenye majaruba Dada uje nawe uuze bei ya juu upate mihela mingi.

Wakulima nchi hii nizaidi ya 70% chakula kikipanda bei uchumi wao unakuwa Juu, hivi karibuni vifaa vya ujenzi vilipanda bei na wengine wakawa wanajiamria bei wanazotaka hamkupiga kelele!

Leo na sisi wakulima tunajivunia mihela mnalalama nyie kenge msiojielewa! Njoo huku Majarubani uone kilimo kilivyo we punguani wa Kyiev.

By Mchumi kutoka Matopeni!
Bahati mbaya upo mbali. Ungekuwa karibu ningekumwagia bila ndomu.
 
Back
Top Bottom