Inakuwaje ninapogongwa na gari isiyo na bima?

Shambogo

New Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
3
Reaction score
1
Wiki iliyopita nimepata ajali na gari yangu, nimegongwa na corolla iliyokuwa imepoteza uekekeo na kuja upande wangu wa barabara. Baada ya taratibu za kipolisi kufuatwa tumejua gari hiyo haina bima. Polisi wanamtoza fine mmiliki wa hiyo Corolla. Naomba kupata msaada, itakuwaje kwa gari yangu? Nani atanilipa fidia, je ni kampuni yangu ya bima? Maana hata mimi nina 3rd party policy. Mwenye corolla anasema hana uwezo wa kulipa labda anipe gari yake nitafute mteja. Nifaanyeje bandugu?!!!
 
Duh! Chukua gari yake, anareta dharau kwa geshi ra porisi?
Manake anahusika yeye hasa ukizingatia wewe hauna comprehensive insurance.
 
Kugongwa ni kugongwa tu cha msingi wewe banana na aliekugonga akupe matibabu stahiki basi, maana ukigongwa na gari yenye bima sio kusema hutaumia its like when the egg fall on the stone or stone fall on the egg the end result is the same
 
I hope uliChukua gari hiyo na kukata vipande na spare na kuuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…