Hapa hata mm nashangaaga sanaHata wali wa msibani tofauti na nyumbani.
Itabidi niwe jirani yako...siku unaweza tambaa mpaka kwangu..who knowsMh Mimi ni anywea home, hata nikitambaa mpaka chumbani ni siri yangu.
utasingizia ulichukuliwa kichawi .au utamsingizia shetani alikupitia.shetani huwa anaonewa sanaNinawaza tu asubuhi Asprin ananikuta kwa jirani tena na khanga moja
Ila wali wa msibani ata utoke na harufu ya moshi ni mtamu[emoji23][emoji23]Hata wali wa msibani tofauti na nyumbani.