Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 50
Unajua jana muheshimiwa Kikwete alikunywa maji mengi sana,kilichonishangaza hakushikwa hata na haja ndogo.Ndipo hili likanipitia kichwani kwamba pale ndo raisi ameshikwa na haja na anataka kwenda kujisaidia,inakuwaje.Anakwenda au anavumilia.
Unajua jana muheshimiwa Kikwete alikunywa maji mengi sana,kilichonishangaza hakushikwa hata na haja ndogo.Ndipo hili likanipitia kichwani kwamba pale ndo raisi ameshikwa na haja na anataka kwenda kujisaidia,inakuwaje.Anakwenda au anavumilia.
Unajua jana muheshimiwa Kikwete alikunywa maji mengi sana,kilichonishangaza hakushikwa hata na haja ndogo.Ndipo hili likanipitia kichwani kwamba pale ndo raisi ameshikwa na haja na anataka kwenda kujisaidia,inakuwaje.Anakwenda au anavumilia.
Unajua jana muheshimiwa Kikwete alikunywa maji mengi sana,kilichonishangaza hakushikwa hata na haja ndogo.Ndipo hili likanipitia kichwani kwamba pale ndo raisi ameshikwa na haja na anataka kwenda kujisaidia,inakuwaje.Anakwenda au anavumilia.
Public speakers wote huwa wanajisaidia kabla ya kuongea kama anajua hotuba itakua ndefu,pia masaa 3 au 4 kwa mtu mwenye afya anaweza kukaa bila kwenda chooni.Kingine kama ungeangalia vizuri huwa hawanywi mengi kwa mpigo ni kidogo tu koo lisikauke
..ile hotuba ilikuwa amepanga kuvunja rekodi ya castro ahutubie zaidi ya masaa 5...ila aliikatishia saa la 4 ..baada ya kusikia haja zote...
SIZE]