Inakuwaje unanunua vocha ya simu (scratch card) unaingiza namba kwa usahihi kabisa unaambiwa namba ya vocha uliyoingiza haipo?

Inakuwaje unanunua vocha ya simu (scratch card) unaingiza namba kwa usahihi kabisa unaambiwa namba ya vocha uliyoingiza haipo?

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Hili limeshanitokea mara kadhaa matokeo yake naishia kutupa vocha na kuweka nyingine. Siku hizi huwa sinunui sana vocha za kukwangua nanunua tu bando kwa mtandao.

Leo nimekuta vocha ambazo nilikuwa nimenunua kitambo na huwa mara nyingi inakuwa kwa ajili ya msichana wa kazi.

Nikataka kuingiza vocha moja inasema vocha haipo. Nikarudia tena mara mbili jibu ni lile lile. Hii inakuwaje?
 
kama vocha umeikwangua mwenyewe na ikakujibu hivyo basi lazima kuna namba umeikosea kuingiza mfano 6 unaweza kuweka 0 au 8, au kwenye 3 ukaweka 9,namba 1 ukaingiza 7 na hii itategemea hiyo vocha umeikwangua vp labda lile tabaka la juu linaloficha namba hukulimalizia vizuri ndoapo kwenye 1 ukaweka 7 au kwenye 6 ukaweka 0..kuliko kuitupa vocha kama ulivyosema ni bora umpe mtu akusomee upya au akuandikie
 
kama vocha umeikwangua mwenyewe na ikakujibu hivyo basi lazima kuna namba umeikosea kuingiza mfano 6 unaweza kuweka 0 au 8, au kwenye 3 ukaweka 9,namba 1 ukaingiza 7 na hii itategemea hiyo vocha umeikwangua vp labda lile tabaka la juu linaloficha namba hukulimalizia vizuri ndoapo kwenye 1 ukaweka 7 au kwenye 6 ukaweka 0..kuliko kuitupa vocha kama ulivyosema ni bora umpe mtu akusomee upya au akuandikie
Sio lazima ukosee namba,hii imenikuta zaidi ya Mara 2 na ilianza kwa mtu mwingine alilalamika pia,namba unaingiza kwa usahihi kabisa inakwambia haipo au imetumika,nikawapigia Customer care wanasema imetumika,nikaachana nayo ila sikutupa,baada ya wiki mbili nikasema ngoja nijaribu ikakubali
 
Hili limeshanitokea mara kadhaa matokeo yake naishia kutupa vocha na kuweka nyingine. Siku hizi huwa sinunui sana vocha za kukwangua nanunua tu bando kwa mtandao. Leo nimekuta vocha ambazo nilikuwa nimenunua kitambo na huwa mara nyingi inakuwa kwa ajili ya msichana wa kazi. Nikataka kuingiza vocha moja inasema vocha haipo. Nikarudia tena mara mbili jibu ni lile lile. Hii inakuwaje?
Usiwe unatupa,ihifadhi acha hata wiki ijaribu tena itakubali,customer care hawana msaada kwenye hili mtabishana sana wanaweza kukwambia imetumika wakati haijaingia
 
kama vocha umeikwangua mwenyewe na ikakujibu hivyo basi lazima kuna namba umeikosea kuingiza mfano 6 unaweza kuweka 0 au 8, au kwenye 3 ukaweka 9,namba 1 ukaingiza 7 na hii itategemea hiyo vocha umeikwangua vp labda lile tabaka la juu linaloficha namba hukulimalizia vizuri ndoapo kwenye 1 ukaweka 7 au kwenye 6 ukaweka 0..kuliko kuitupa vocha kama ulivyosema ni bora umpe mtu akusomee upya au akuandikie
Hii ya leo sijaitupa ngoja kesho nitaicheki tena but I am sure namba zilikuwa sawa
 
Hili limeshanitokea mara kadhaa matokeo yake naishia kutupa vocha na kuweka nyingine. Siku hizi huwa sinunui sana vocha za kukwangua nanunua tu bando kwa mtandao.

Leo nimekuta vocha ambazo nilikuwa nimenunua kitambo na huwa mara nyingi inakuwa kwa ajili ya msichana wa kazi.

Nikataka kuingiza vocha moja inasema vocha haipo. Nikarudia tena mara mbili jibu ni lile lile. Hii inakuwaje?
Hata hilo ni la JF? Wapigie wenye vocha zao watakujibu vizuri......leta hoja za kufikirika hapa JF tafadhaliii
 
Hata hilo ni la JF? Wapigie wenye vocha zao watakujibu vizuri......leta hoja za kufikirika hapa JF tafadhaliii
Ukipiga huko unapewa jibu hilohilo kwamba haipo. Kuna mdau hapo juu ametoa jibu lenye akili ambalo huko customer care hawakuwahi kunipa. Wakati mwingine jf kuna solution bora zaidi kwa hiyo usidhani kuleta hapa ni ujinga.
 
Hii ya leo sijaitupa ngoja kesho nitaicheki tena but I am sure namba zilikuwa sawa

Hili limeshanitokea mara kadhaa matokeo yake naishia kutupa vocha na kuweka nyingine. Siku hizi huwa sinunui sana vocha za kukwangua nanunua tu bando kwa mtandao.

Leo nimekuta vocha ambazo nilikuwa nimenunua kitambo na huwa mara nyingi inakuwa kwa ajili ya msichana wa kazi.

Nikataka kuingiza vocha moja inasema vocha haipo. Nikarudia tena mara mbili jibu ni lile lile. Hii inakuwaje?
Sio ilishaingia labda ulikuwa unadaiwa wakapita nayo juu kwa juu?Yani ulipigwa tafu.
 
Kuna siku niliwapigia yas huduma kwa wateja baada ya kuwa nanunua kifurushi cha intaneti cha elfu mbili kupitia mixx by yas halafu naambiwa sina salio la kutosha wakati nimeweka zaidi hiyo hela muda huo huo, alipokea muhudumu wa kike nilimfokea yule dada (niliongea nae kwa sauti ya jazba kwani ile dhana ya yas ni mtandao mbovu kweny ehuduma ishanijia kichwani) akanambia kwamba haoni tatizo kwenye account yangu labda nijaribu tena.

Nilipo jaribu tena ndiyo nikagundua kumbe nilikuwa naandika elfu ishirini (20000) badala ya elfu mbili (2000)

Kwahiyo naungana na wadau wengine hapo juu wanaosema huenda kuna namba unaikosea kutokana na kukwangua vocha vibaya ama kwa namna nyingine, kwa sababu kuna muda unajihisi unafanya kitu kwa usahihi kabisa kumbe kuna mahali unakosea
 
Back
Top Bottom