Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,508
Redio Clouds wanatangaza kuwa kwenye show lao Leaders Club linaloendelea saa hizi kuna ulinzi wa uhakika pamoja na polisi wana ulinzi wa wanajeshi wa Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ.
Hii imekaaje wanajeshi kulinda onyesho la mziki ina maana polisi hawatoshi au wanajeshi wamependa kuwa pale kwa malipo maalum,
nilikuwa sijui kama mtu yeyote anaweza kukodi wanajeshi (JW) na wakamfayia ulinzi, ila nafikiri ni aibu kwa jeshi letu.
Hii imekaaje wanajeshi kulinda onyesho la mziki ina maana polisi hawatoshi au wanajeshi wamependa kuwa pale kwa malipo maalum,
nilikuwa sijui kama mtu yeyote anaweza kukodi wanajeshi (JW) na wakamfayia ulinzi, ila nafikiri ni aibu kwa jeshi letu.