Kazi za jwtz ni zipi?
kullinda mabomu ili yalipukeKazi za jwtz ni zipi?
Tusichukulie kila kitu simple eti walinde dada zetu polisi wafanye kazi gani, kazi ya jeshi JW si kulinda kumbi za starehe ni kulinda mipaka ya nchi labda na kusaidia kwenye majanga litakapoombwa ingawa pia hiyo si kazi yake. Mwanajeshi anatakiwa awe kambini wakati wote hata kama hana kazi kwa sababu wanalipwa hata wasipofanya kazi, kwa nchi zinazofuata utawala wa sheria hii ni kashfa lakini kwetu kinaonekana ni kitu cha kawaida.hivi tatizo liko wapi? ...wanajeshi wafanye kaz gani jamani? waache watulindie dada zetu ,kaka zetu na wadogo zetu.. kwani wanawalinda wakenya au wahindi?
Ni kweli ndugu yangu nimesikia mimi niko nje kikazi nasikiliza clouds online mtangazaji amesema kuna safu 5 za ulinzi kwanzaNi ujinga na udhalishaji kwa jeshi kufanya kazi za watu binafsi, cdf atawajibika kwa hilo kama ni kweli?