inakuweje secretariat ya ajira

Joined
May 24, 2012
Posts
84
Reaction score
33
mbona kazi za karibuni wanaanza kuita intaview kabla ya zile za mwanzo?

mfano wale wakala wa vipimo ilikuja baada ya state atorney chamber vacancy, au ndo wameshaitana wenyewe? na maaaaafisa tarafa je?

nisaidieni nahisi kuingia choo kisicho jinsia yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…