Kwani unalipwa kwa number of transactions kwa mwezi au kiasi cha fedha zinazotumwa kwa mwezi
Hata mimi nahitaji kujua hawa jamaa wanatengeneza vip faida kwa kuwa wakala wa Kampuni kama 7 kwa wakati mmoja
(MPESA, AIRTEL MONEY, TIGO PESA, EZY PESA, DSTV, ZUKU TV, EASY TV, LUKU)
Naomba elimu tafadhali