Inanauma sana.kama ni wewe ungefanyaje?

mkishaanza kuripoti mambo yenu ya ndani hapa ni dalili za kuchokana huko...mkalishe kitako,malizeni mambo yenu ndani kwenu huko
kwa hiyo wewe unafagilia wale wanaodanganya sijui nina rafiki yangu mkewe kamwita buzi afanyaje? humu jukwaani watu wanaleta mambo yao wanapewa ushauri kama visa kama hivi haviji humu jukwaa hili litajadiliwa mambo gani? au tuanze kuleta na mambo ya siasa?
 
Nimepita mahala nikakuta my carpet na wadada wengine wanapiga story,kilichoniuma zaidi ni kusikia mimi naitwa buzi.na aliyetamka hivyo ni wife.Je ungekuwa wewe ungefanyaje?

Kwani uongo? Ukioa si unakuwa unachunwa ila kisheria/kihalali? Tofauti iliyopo kati ya ukichunwa ukiwa hujaoa na ukiwa umeoa ni kuwa kuchunwa ukioa ni lazima na si kwa hiari kama ukiwa hujaoa.

Huhitaji hata kukasirika, ni ukweli. Kwani ukiwa mfupi, na mkeo akasema wewe ni mfupi utakasirika?
 
Thanks all for your contribution.Akili mkichwa
 
Nimepita mahala nikakuta my carpet na wadada wengine wanapiga story,kilichoniuma zaidi ni kusikia mimi naitwa buzi.na aliyetamka hivyo ni wife.Je ungekuwa wewe ungefanyaje?

inakuwaje wewe unaumia kuitwa buzi wakati wewe mwenyewe unamuita carpet?
 
hahahaaa pole kwa kuitwa mbuzi! ila kwa sababu we ni mume basi we utakua beberu ye atakua mrs beberu, au?

I like this. Wewe ukiwa nyumbani hebu mwite "Mrs buzi naomba uniwekee maji ya moto", au jengine lo lote kiasi ya mara mbili mpaka tatu uone reaction yake kama atafurahia au la. Akikwambia mimi sifurahii kuitwa Mrs buzi nawewe umwambie hata mimi sifurahii kuitwa buzi.

Nadhani message itafika vizuri.
 
Hahaha...I like this
 

got ur point.
 
Nimepita mahala nikakuta my carpet na wadada wengine wanapiga story,kilichoniuma zaidi ni kusikia mimi naitwa buzi.na aliyetamka hivyo ni wife.Je ungekuwa wewe ungefanyaje?





Kaka usijali ni misemo tu ya akina mama vijiweni, I believe hakua na nia mbaya - na kama kajua umeskia lazima atakua amejutia. Confront her uone reaction yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…