Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana wengine hivi sasa tunajitahidi 'Kuwakaza' sana ili hata tukija kuwa Wazee kama huyu wa Pichani tusiwe na cha Kujutia wala Kushangaa.Dah!
Nafkiria sana kipind hiko nishakuwa babu tena, watot wazur nitaishia kuwaangalia tu,
Hawatonihitaji tena, hata nikitupia ctowashawish tena[emoji24][emoji24]
Wakat huo ukienda dukan unaitwa chumaulete[emoji24][emoji24][emoji24]
Watot wazur ukiwatupia madini utaskia wanakuambia "babu zako zimepita" duh[emoji24][emoji24]
Wakorongwa tunajiandaa vp tukishafika zama hizo tena wakati huo hatuna jambo
Noma sanaView attachment 1846243
[emoji23][emoji23][emoji23]hyo ndio kauli mbiu mkuuWakati unautumia huu ujana kwa anasa pambana pia jiweke sawa kiuchumi utawalamba pisi kali mpk unakufa sio mpk unazeeka I mean mpk UNAKUFA...huu mji ulikuwa na mzee Mengi lkn mzee Mpili pia alikuwa humu humu.
Dah!
Nafkiria sana kipind hiko nishakuwa babu tena, watot wazur nitaishia kuwaangalia tu,
Hawatonihitaji tena, hata nikitupia ctowashawish tena[emoji24][emoji24]
Wakat huo ukienda dukan unaitwa chumaulete[emoji24][emoji24][emoji24]
Watot wazur ukiwatupia madini utaskia wanakuambia "babu zako zimepita" duh[emoji24][emoji24]
Wakorongwa tunajiandaa vp tukishafika zama hizo tena wakati huo hatuna jambo
Noma sanaView attachment 1846243ukinunua tu mkongojo inatosha