Inanisikitisha na kunihuzunisha

Inanisikitisha na kunihuzunisha

Fene

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
2,824
Reaction score
4,447
.
 

Attachments

  • old-african-male-14081616.jpg
    old-african-male-14081616.jpg
    84.4 KB · Views: 4
Dah!
Nafkiria sana kipind hiko nishakuwa babu tena, watot wazur nitaishia kuwaangalia tu,
Hawatonihitaji tena, hata nikitupia ctowashawish tena[emoji24][emoji24]

Wakat huo ukienda dukan unaitwa chumaulete[emoji24][emoji24][emoji24]

Watot wazur ukiwatupia madini utaskia wanakuambia "babu zako zimepita" duh[emoji24][emoji24]

Wakorongwa tunajiandaa vp tukishafika zama hizo tena wakati huo hatuna jambo

Noma sanaView attachment 1846243
Ndiyo maana wengine hivi sasa tunajitahidi 'Kuwakaza' sana ili hata tukija kuwa Wazee kama huyu wa Pichani tusiwe na cha Kujutia wala Kushangaa.
 
Wakati unautumia huu ujana kwa anasa pambana pia jiweke sawa kiuchumi utawalamba pisi kali mpk unakufa sio mpk unazeeka I mean mpk UNAKUFA...huu mji ulikuwa na mzee Mengi lkn mzee Mpili pia alikuwa humu humu.
 
Wakati unautumia huu ujana kwa anasa pambana pia jiweke sawa kiuchumi utawalamba pisi kali mpk unakufa sio mpk unazeeka I mean mpk UNAKUFA...huu mji ulikuwa na mzee Mengi lkn mzee Mpili pia alikuwa humu humu.
[emoji23][emoji23][emoji23]hyo ndio kauli mbiu mkuu
 
Rejea Kapuya na takwimu za ukimwi utaambiwa wazee ndo wanaongoza kusambaza ukimwi kwa mabinti wabichi hususan wale wa shule za secondary kwa huku kwetu Dar so brother ilipo pesa ndo watoto wanatulia tuli
 
Dah!
Nafkiria sana kipind hiko nishakuwa babu tena, watot wazur nitaishia kuwaangalia tu,
Hawatonihitaji tena, hata nikitupia ctowashawish tena[emoji24][emoji24]

Wakat huo ukienda dukan unaitwa chumaulete[emoji24][emoji24][emoji24]

Watot wazur ukiwatupia madini utaskia wanakuambia "babu zako zimepita" duh[emoji24][emoji24]

Wakorongwa tunajiandaa vp tukishafika zama hizo tena wakati huo hatuna jambo

Noma sanaView attachment 1846243ukinunua tu mkongojo inatosha
 
Back
Top Bottom