Vyoo vya shimo vizuri sana, huoni hio makitu kabisaaaa, yaani unasikilizia kitu kikgusa chini hukooooooo, Pole sana, sipati picha ukishakata gogo unageuka na kuanza ku-evaluate!!! Hahahahaaa, Nakushauri wahi hospital hii issue ni serious na sio kuja hapa maana utapata alternative nyingi zitakazoishia kukuchanganya, mimi naweza kusema ulikula ndizi mbivu nyingi (which is true by the way0 lakini mwingine atakwambia ni minyoo (ni kweli) lakini nenda hospital upate uhakika.
MUNGU akuponye urudi JF unafuraha