"Inaniuma..."

NECTA wanahusika na mitihan sio selection.Alafu jifunze kuandika vizuri humu sio Facebook!!!!!
muone kwanza
 
Hawa watoto wanaoingia form five wana viherehere sana ndio maana kumbe walifeli serikali ikawaonea huruma, matokeo yenyewe yalitoka tarehe 30/5 sasa sijui wizara ingefanya vp kutoa posts haraka kiasi hicho,tafuteni pesa ya kujikimu ukiwa shuleni.
 
4m5... ndio nini!?? ndio maana mnafeli kila leo.
lakini wewe c umeelewa..
NECTA wanahusika na mitihan sio selection.Alafu jifunze kuandika vizuri humu sio Facebook!!!!!
muone kwanza
ingekua poa kama ungeenda kwenye mada moja kwa moja badala ya kumchallenge kihivyo, na kama huna che kusema bora ukae kimya.
Hawa watoto wanaoingia form five wana viherehere sana ndio maana kumbe walifeli serikali ikawaonea huruma, matokeo yenyewe yalitoka tarehe 30/5 sasa sijui wizara ingefanya vp kutoa posts haraka kiasi hicho,tafuteni pesa ya kujikimu ukiwa shuleni.
acha ujinga sisi hatukufeli kama unavyowaza wewe, ilikuwa ni haki yetu.. Try to be positive..
Kitabu cha Advance cyo rahis km mnavyokikimbilia

sio kama tunakikimbilia, tunafuata ratba inavyosema. Hata ungekua wewe usingeweza kukaa kimya..
 

"Umeonae,kama hauna cha kuchangia better keep quite!!.
 
Yaani maishani mwako umekaa ukishikilia kuwa Facebook ndipo kwenye matusi?
Hivi akili yako iko hivyo kila siku au ni leo tu? Ngoja tuwe tunawashikisha adabu ngedere nyie.

Kama sisi ngedere,basi we Sokwe mtu.Yaani umeona matusi ni sehemu ya kushikisha adabu;We toka tu humu ndani manake we ni "Shallow thinker" and not great thinker.
 
hawa watoto wanaoingia form five wana viherehere sana ndio maana kumbe walifeli serikali ikawaonea huruma, matokeo yenyewe yalitoka tarehe 30/5 sasa sijui wizara ingefanya vp kutoa posts haraka kiasi hicho,tafuteni pesa ya kujikimu ukiwa shuleni.

waliofail hawaulizii selection halafu unaonekana mgumu wa kuelewa, uamuzi wa serikali kufuta matokeo SABABU zilielezwa.je, Ilikuwa ni kuwaonea huruma?je, We naye ni great thinker?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…