1) Kapata forum mbele ya jeneza la mchaga, kuwashambulia wachaga kuwa ni wagumu sana kusaidia walemavu na wahitaji.
2) Kusambaa kwa video chafu ya ng'ono inayodaiwa ni ya hasimu wake mkuu Askofu Josephat Gwajima.
Aluta Kontinua
Pole kwenu ambao hamkualikwa chakula cha usiku jana pale nyumbani kwake. Tulikesha tukila na kuangalia ule mkanda vizuri, aisee kwa mara ya kwanza nikamuona Makonda anatembea sawasawa, jamaa hana matege....ile ni pozi tu za kiCCM.
Na kama n shabiki wa Liverpool.. Basi full burudani1) Kapata forum mbele ya jeneza la mchaga, kuwashambulia wachaga kuwa ni wagumu sana kusaidia walemavu na wahitaji.
2) Kusambaa kwa video chafu ya ng'ono inayodaiwa ni ya hasimu wake mkuu Askofu Josephat Gwajima.
Aluta Kontinua
Kumbe mumealikana, wamikoani tunamis vingi eehPole kwenu ambao hamkualikwa chakula cha usiku jana pale nyumbani kwake. Tulikesha tukila na kuangalia ule mkanda vizuri, aisee kwa mara ya kwanza nikamuona Makonda anatembea sawasawa, jamaa hana matege....ile ni pozi tu za kiCCM.
Steve nyerereInamaana aliiaangalia ile Video? Nani atakuwa kamtumia na Lemuntuz ni mgonjwa
Inamaana aliiaangalia ile Video? Nani atakuwa kamtumia na Lemuntuz ni mgonjwa
Hahahaa........!!lemutuzππππ atakua ameshapona kama ameiona
du kumbe baba askofu ana kamkono ka gym bila shaka hakosi six paki ndio maana bashite anamshobokeaKwani nae uyu
View attachment 1091555
Kwani nae uyu
View attachment 1091555