OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 426
- 685
Mwezi wa Saba serikali iliweka tozo kwenye miamala ya simu na kukawa na lawama nyingi sana huku wengi wakiamini wananchi wangeacha kutumia huduma hiyo ya kutoa na kupokea fedha.
Hata hivyo kwa kutumia takwimu inaoneshwa wananchi walisusa kidogo halafu hali imerudi kama kawaida watu wameanza kuzoea na wanaendelea na huduma kama kawaida.
Takwimu zinaonesha mwezi Juni hadi septembe pesa zinazotumwa na kutolewa kwa njia ya simu ilipungua kwa kiasi kikubwa lakini ilirudi kuwa kawaida kuanzia mwezi Oktoba na imepanda sana Desemba.
Hata hivyo bado miamala iko chini ya kiwango kilichozoeleka na hii inaonesha athari kubwa. However, inaonekana wananchi wameanza kukubaliana na hali iliyopo
Data Source: BoT
Graphs katengeneza Mkoba Mfuko
Hata hivyo kwa kutumia takwimu inaoneshwa wananchi walisusa kidogo halafu hali imerudi kama kawaida watu wameanza kuzoea na wanaendelea na huduma kama kawaida.
Takwimu zinaonesha mwezi Juni hadi septembe pesa zinazotumwa na kutolewa kwa njia ya simu ilipungua kwa kiasi kikubwa lakini ilirudi kuwa kawaida kuanzia mwezi Oktoba na imepanda sana Desemba.
Hata hivyo bado miamala iko chini ya kiwango kilichozoeleka na hii inaonesha athari kubwa. However, inaonekana wananchi wameanza kukubaliana na hali iliyopo
Data Source: BoT
Graphs katengeneza Mkoba Mfuko