Inaonyesha ni jinsi gani watu wa jahazi-clouds fm wanavyopenda maji yasiyopatikana mbinguni.

EMMYGUY

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
11,099
Reaction score
25,347
Nimepita kwenye 'page' yao nikakutana na hiki, ikumbukwe kwamba jana ndo wamemtambulisha mtangazaji aliyekamilisha utatu mtukutu ndugu yetu Paul James na kuonekana kuwa na yeye ni miongoni mwa watu wapenda maji.

T[emoji769]
 

Attachments

  • IMG_20190319_145646_135.JPG
    72.6 KB · Views: 75
  • IMG_20190319_145646_135.jpeg
    79.3 KB · Views: 52
Hahaaaaa.......
Kumbe sie tusiokunywa beer hatuna akili ama!?

T[emoji769]
 
Hyu wala asingefaaa anaongeaga kama hana meno
Kuna watu wawili tu niliona ndo walikuwa bora, kati ya Arnold Kayanda ama Wasiwasi Mwabulambo.

T[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…