hahahaha! nani! mpigamsuli?
wanadamu kila siku ni wanafunzi,waweza jfunza popote sio darasani tu.
si atakuw ameniwezesha sasa why nimchukie? ila akinibania ntamchukia xana 2!
nakuombea na ww upate 100% kama mm.
tuombe mungu tu mambo yawe poa
Mungu yu pamoja nasi mbona mihela ni mingi tu labda watuchakachue tu wale wahuni
uwe unaniombea na mimi! umeckia eh!
Jamani hivi si wangeanza kukata zile buku buku za kila mwezi kwenye cm wazitupie heslb
si ndio hapo pataeleweka tu
za cm zingetutosha wote na kubaki