House4Rent Inapangishwa Chumba Sebule Choo - Kinondoni

Gari tatu zinaingia hapo kwenye uzio wake ? Ipo umbali gani tokea rami vipi usalama ?
 
Gari tatu zinaingia hapo kwenye uzio wake ? Ipo umbali gani tokea rami vipi usalama ?
Parking ipo ya kutosha, ipo kinondoni B sio mbali na kituo cha daladala, ulinzi Upo wa kutosha
 
Swali la kipuuzi..
We ndio mpuuzi na udalali wako wa uswahilini, maana umetangaza ulinzi,nimekuuliza nani analinda huna jibu.Ulinzi huo unatoka kwa yesu au nani?Au unalinda wewe mpangaji akiwa hayupo?Mkataba utakaoandika utaainisha kipengele cha ulinzi?pumbavu.
 
We ndio mpuuzi na udalali wako wa uswahilini, maana umetangaza ulinzi,nimekuuliza nani analinda huna jibu.Ulinzi huo unatoka kwa yesu au nani?Au unalinda wewe mpangaji akiwa hayupo?Mkataba utakaoandika utaainisha kipengele cha ulinzi?pumbavu.

Ww ndio unazingua watu wapo serious na biashara ww unaleta swali la kitoto aseh ndugu be serious mzee watu wanahastle sana
 
Ww ndio unazingua watu wapo serious na biashara ww unaleta swali la kitoto aseh ndugu be serious mzee watu wanahastle sana
usiweke vipengele ambavyo huwezi kuvielezea sema nyumba ina fence inatosha sio kuna ulinzi wa kutosha kama nawe ni dalali
 
We ndio mpuuzi na udalali wako wa uswahilini, maana umetangaza ulinzi,nimekuuliza nani analinda huna jibu.Ulinzi huo unatoka kwa yesu au nani?Au unalinda wewe mpangaji akiwa hayupo?Mkataba utakaoandika utaainisha kipengele cha ulinzi?pumbavu.
Unaonekana hauna uzoefu wa kupanga nyumba nzuri, sio kosa lako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…