House4Rent Inapangishwa nyumba Goba inayopakana na mbezibeach

House4Rent Inapangishwa nyumba Goba inayopakana na mbezibeach

dalalimhenga

Member
Joined
Feb 28, 2022
Posts
27
Reaction score
6
Chumba Choo ndani ( Masta ), Sebule Na Jiko.
Kodi kwa Mwezi ni Tshs 230,000
Mahali Goba ya Karibu Na Mbezibeach
Mawasiliano 074214146


20220211093909_1.jpg
20220211093909_0.jpg
20220211093909_5.jpg
 
Ila umaskini mbaya sana! Karne hii bado nyumba kuwa na choo ndani ni sifa?!!
Point! Back in 90's, nafikiri was 1996 nilisikia kwa mara ya kwanza uncle wangu aliyepo mjini, tena siyo miongoni mwa miji mikubwa, amejenga self-contained. Sifa zilienea kata nzima huko kijijini kwetu.

More than 25years, kuna mtu anasifia choo ndani.. tena maeneo anayoyabrand ni Mbezi beach!🤔
 
Point! Back in 90's, nafikiri was 1996 nilisikia kwa mara ya kwanza uncle wangu aliyepo mjini, tena siyo miongoni mwa miji mikubwa, amejenga self-contained. Sifa zilienea kata nzima huko kijijini kwetu.

More than 25years, kuna mtu anasifia choo ndani.. tena maeneo anayoyabrand ni Mbezi beach![emoji848]
Hatari sana!
 
Back
Top Bottom